Hii ina ukweli wowote Wadau?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
60,421
120,745
Kwamba eti......
  1. Ukijiunguza na Pasi usiposikia ule moto au maumivu basi ni jibu tosha kuwa una Kisukari?
  2. Ukijikata ama na Kisu au Wembe kwa bahati mbaya kisha hiyo sehemu au hicho Kidonda kisipofunga / ziba ndani ya Siku 3 hadi Siku 5 basi tayari una VVU / UKIMWI a.k.a Dally Kimoko? au ukiugua Malaria halafu ukanywa Fansida na huponi pia ni dalili kuwa umeshaathirika na Ngwengwe / Ukimwi?
Nawasilisha.
 
Lizaboni natumaini umempata hapo kwenye kisukari njoo utufafanulie.


Swissme
 
Back
Top Bottom