Napatwa na wasiwasi pale naibu wa spika anapomsaidia mwanasheria wa serikali kutoa ufafanuzi juu ya matusi yake dhidi ya tundu lisu hivi alichosema n/spika ndo alivyomaanisha =ag=kweli mie naona kama kamtusi live mh, tundu lisu wadau leteni mawazo tuchanganue