Hii imekaaje wakuu

daah nimechelewa hata kuoa nmmalizie nyumba yake,gari nlishamnunulia tayari nadhan ntakayemuoa akikuta mama yangu anajiweza itakua ngumu kumletea dharau za kipuuzi au nakosea jamani!
 
Kweli kabisa kama una mpenda mama yako unashindwaje.kumpenda mama wa mwenzio??

Tena mama yako aweza kuwa na vitimbi zaidi ya mama mkwe wako
 
daah nimechelewa hata kuoa nmmalizie nyumba yake,gari nlishamnunulia tayari nadhan ntakayemuoa akikuta mama yangu anajiweza itakua ngumu kumletea dharau za kipuuzi au nakosea jamani!
Mkuu huna ulilokosea hapo, kubwa umuonyeshee upendo wa dhati km mama.
 
Hivyo ndio inavyotakiwa, sasa unakuta mwingine anashindana na mama mkwe mpaka inafikia hatua ya kurushiana maneno,huko si kujichumia laana.
 
Naamini nafasi ya mama ni ile ile. Not even the wife comes before the Mom.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…