Usikute ndege ilishakuwa kwenye runway we unasema dk 1..halafu mara nyingi check in za flight za ndani ni 1 hr..sasa we dhani huko ATCL nako kuna huo ujinga wako
Nimechelewa dak 1 tu check in wamenizuia kabisa pamoja na kubembeleza kote kule halafu naenda kusogeza tiketi mbele wanadai 255 Ikabidi nikakate air Tanzania tiketi mpya kwa 230
Nimechelewa dak 1 tu check in wamenizuia kabisa pamoja na kubembeleza kote kule halafu naenda kusogeza tiketi mbele wanadai 255 Ikabidi nikakate air Tanzania tiketi mpya kwa 230
Acheni kuharibu biashara za watu, nilishachelewa Muda wa Check in ikawa imebaki dk 15 ndege kuondoka na waliniruhusu, wewe utakuwa umefika muda ushaisha na abiria wameshaingia kwenye ndege na ishajiandaa kuondoka
Mm pia nlichelewa miaka 3 ilopita nlikuwa na familia yangu yote just dakika si zaidi ya 10, nikakuta check in ndo inaisha nlivyowambia kusogeza ticket enzi hizo ilikuwa 48000/= nikaambiwa kila ticket niilipie 280000/=na tulikuwa wanne,nikawashit nikachukua precision kwa laki mbili mbili
Tena kwa hela ya kukopeshwa, nlichukia balaaaaaa, ila nliendelea kupanda ndege zao sababu ya gharama nafuu, toka air tanzania ianze sina time na fastjet kabisa
Siku na wao fastjet wakichelewa kuondoka wazuie wasiondoke. Ila nawapongeza kwa kujali muda maana nilisikia abiria wa ATCL wakilalamika siku moja kuchelewa kuondoka kisa kumsubiri Mh.
Mzee Mwenzangu, mashirika yote ya ndege ni ovyo tuuu, na hata msimamizi sijui P nini nini hukooo, kwanza wako wawili tuu halafu wanafunzi. Mm nishapata raha na karaha kwa mashirika yote ya hapa nchini, ni kuomba lisikukute na kupunguza uzembe.