Car4Sale Higer bus. Bus la kifahari kwa bei nafuu

Mkuu haya ni mapya kabisa, used au refurbish?

Bei zake zipoje? Usifiche bei weka bei hadharani

Yamelipiwa kodi ya TRA?
 
Hivi Afisa masoko umefanya makusudi, au ni bahati mbaya kwa kushindwa kuweka bei halisi ya haya mabasi yenu, pamoja kiwango cha malipo ya kidogo kidogo kwa wateja wenu?

"Bei nafuu" ni sawa na shilingi ngapi za Kitanzania?
 
Tamaa za wafanyabiashara Bongo ndio zinafanya wasipende kuweka bei hadharani
Unaulizia bei ya nini, umeshaambiwa ni bei nafuu 😂😂
 
Kwa ufafanuzi mdogo tu, hayo magari hayana Bei elekezi Kila mtu atasokotwa bei yake hivyo ndugu wajumbe nendeni pm 😁😁
 
Hivi Afisa masoko umefanya makusudi, au ni bahati mbaya kwa kushindwa kuweka bei halisi ya haya mabasi yenu, pamoja kiwango cha malipo ya kidogo kidogo kwa wateja wenu?

"Bei nafuu" ni sawa na shilingi ngapi za Kitanzania?
Higer ya bila Choo Bei Milioni 421
Higer yenye choo Bei Milioni 428
Kodi imejumuishwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…