Hiace ya hesabu inahitajika

Hiace ya hesabu inahitajika

mtanga255

Member
Joined
Sep 25, 2017
Posts
36
Reaction score
19
Habari wanazengo,mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 31 ni dereva,ombi langu kwenu nahitaji gari aina ya hiace ya hesabu iwe kwa mwezi au wiki na itatumika tanga mjini kama daladala hesabu yake kwa siku ni 35,000.

kwa mtu aliye tayari na yuko tayari kwa biashara hii tunaweza wasiliana..0693562823

Nipigie au ni sms sina simu ya mtandao .
 
Hiace haitafutwi JF, Nenda stendi mkoani kwenu hapo daladala/hiace zinapopark. Kazi za hiace mara nyingi kama si zote hutolewa kwa kujuana.
 
Halafu hio 35,000 ni kwa hasi ndogo, almaarufu kama PANKI, ila ukipewa SuperRouf au Shack... Ni 40,000...ila uzuri nenda kwenye gereji za gari hizo au stendi.. Pia kuna maelewa wewe na boss wako, kwahio usiseme 35,000 ukadhani ni kubwa... Labda watakukimbilia. Hapana.. Hayo ni maelewano yenu
 
Hiace haitafutwi JF, Nenda stendi mkoani kwenu hapo daladala/hiace zinapopark. Kazi za hiace mara nyingi kama si zote hutolewa kwa kujuana.
ndio mana nataka mtu ambae anayo mkuu tanga gari nyingi unazo ziona ni za undugu na urafiki na hata ukipewa ujue mda wowote utapokonywa akija mtoto wa shangazi.....kikubwa nahitaji mtu serious ambae nitakuwa huru kufanya kazi mda wote.
 

yaani kirahisi tu unajipangia hadi hela ya kumlipa bosi ee bwana ee hii sijawahi iona


hamna mkuu nimetoa hesabu sahii kulingana na mzunhuko wa kibiashara wa eneo husika unaweza nipangia hesabu yako na nisitimize makubaliano mwisho wa siku ukaniona sio mfanyaji kazi nakuletea usumbufu.
 
Halafu hio 35,000 ni kwa hasi ndogo, almaarufu kama PANKI, ila ukipewa SuperRouf au Shack... Ni 40,000...ila uzuri nenda kwenye gereji za gari hizo au stendi.. Pia kuna maelewa wewe na boss wako, kwahio usiseme 35,000 ukadhani ni kubwa... Labda watakukimbilia. Hapana.. Hayo ni maelewano yenu
asante kaka kwa ushauri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom