Hiace inauzwa

Mzalendowadamu

JF-Expert Member
Joined
Jul 10, 2016
Posts
218
Reaction score
319
Fuel: Petrol
Engine size: 2430cc
Year :2002
Transmisson- Manual
Fuel: Petrol
Imported from Japan July 2016

Imetumika hapa Tanzania kwa miezi kumi tu.
Sababu ya kuuza ni changamoto ya usimamizi hasa katika mapato.
Picha zimeambatanishwa.
Kwa anaye hitaji weka namba yako au njoo inbox.
 

Attachments

  • IMG-20170602-WA0023.jpg
    46.6 KB · Views: 90
  • IMG-20170602-WA0027.jpg
    67 KB · Views: 73
  • IMG-20170602-WA0029.jpg
    77.4 KB · Views: 81
  • IMG-20170602-WA0041.jpg
    52.8 KB · Views: 85
  • IMG-20170602-WA0012.jpg
    69.7 KB · Views: 107
Mkuu, usiiuze. Jichange ufunge engine ya Diesel na hutogombana tena na madereva. Hiace ni gari ngumu. Hapo ilipo inaweza kuendelea kukuzalishia kwa miaka mingine nane. Cha kufanya ipeleke ruti fupi. Nina uzoefu na hii biashara. Ukipeleka ruti ndefu pesa inakuja lakini nyingi inarudi kwenye matengenezo. Ukiipeleka mfano ipige ruti za Mwanza mjini pale (au Tanga mjini) unaweza ukapata elfu arobaini na tano hadi hamsini kwa gari ya Petrol lakini pia matengenezo yanakuwa ni madogo so unaiona pesa yako.
Ukiiuza hiyo gari pesa utakula ndani ya mda mfupi zitakuwa zimekwisha ila ikiendelea kuzalisha kwa miaka mingine nane, utakua umenunua nyingine kama hizo mbili...
 
Asante kwa ushauri wako, lakini tatizo nimehamia mbali na mji kibiashara na imekuwa ngumu kuisimamia.Hata hapo ilipo inapata lakini uaminifu haupo na viliovilio na visababu kedekade.
 
Kwa nini mtu mpaka aende pm kwenye bei? Jiamini. Ukitangaza kitu weka kila kitu wazi. Vyote umeweka isipokuwa bei iwe private.why?

Anaogopa watu wasio wanunuzi kuanza kusema 'bei ya bombardia hiyo'
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…