gallow bird
JF-Expert Member
- Aug 10, 2024
- 13,030
- 16,047
Mungu wa babu zetu afrika anaitwa nani?Usikariri uliyoambiwa kwenye diniza wakoloni. Nenda China, Japan na India ndo utajua Mungu siyo moja. hata Mungu wa Qur'an siyo Mungu wa Biblia. Miungu ipo Mingi sana. But Mungu wa babu zetu Waafrika ndo Mungu halisi tunayetakiwa kumuenzi. Siyo Mungu wa Bara Arabia au Ulaya.
Mungu wa watu wengine kamwe hatatufikisha popote.
Asante kwa kujifariji na kujifurahisha.dogo we wachana na Suleiman Rushid, huyo alikuwa hajui lolote zaidi ya tarabu za kuwafurahisha wafadhili zake wakristo. Kitabu cha Hindus Holy Book kabla ya Ukristo na Uislam sikia kinasema nini. Kabla ya miaka 1000 kuja kwa Mtume Muhammad. Kilitabiri atakuja Mtume anaitwa Muhammad na baba yake ni nani na atazaliwa wapi. Afu mnatuletea ujinga eti ukristo ulikuja kabla ya Uislam, na kitabu cha Mussa kilimtabiri atakuja Mtume kama Mussa na ataleta sheria mpya ambaye ni Mtume Muhammad nyie mkajidai Yesu, lini Yesu alileta sheria hebu tupeni sheria ipi alio leta zaidi ya kusema sikuja vunja sheria ya Mussa bali kuiendeleza😄 🤣 Lini Yesu alikuwa kama Mussa. Yesu hakuwa na baba na mama, Yesu alikuwa na mama tu, hakuwa na mke au watoto hakuleta sheria vipi awe Yesu vichaa kweli nyie wafuasi wa Paulo.
View: https://youtu.be/06Fracwj9WU?si=QLrAd5FEDZ5DFbWJ
Ukristo ni dini ya Paulo.
Wacha ujinga wewe hakuna miungu kuna Mungu mmoja tu, hata Yesu aliwambia wayahudi Mungu wetu ni mmoja tu. Hao miungu wengine wametengenezwa na binadamu au wamezaliwa na binadamu sio miungu.Usikariri uliyoambiwa kwenye diniza wakoloni. Nenda China, Japan na India ndo utajua Mungu siyo moja. hata Mungu wa Qur'an siyo Mungu wa Biblia. Miungu ipo Mingi sana. But Mungu wa babu zetu Waafrika ndo Mungu halisi tunayetakiwa kumuenzi. Siyo Mungu wa Bara Arabia au Ulaya.
Mungu wa watu wengine kamwe hatatufikisha popote.
Utafikiri hicho kitabu chenu cha mapepo unakisoma wewe peke yako. Mbona Kiko uchi kabisa na ushetani wake.Wacha ujinga wewe hakuna miungu kuna Mungu mmoja tu, hata Yesu aliwambia wayahudi Mungu wetu ni mmoja tu. Hao miungu wengine wametengenezwa na binadamu au wamezaliwa na binadamu sio miungu.
Mimi naongea ukweli nyie endeleni kuimba Haleluya kama itawasaidieni. Mtanikumbuka mkisha fika makaburini kama Yesu atawasaidieni.A
Asante kwa kujifariji na kujifurahisha.
Ungekuwa muungwana ningekufundisha hiyo Quran yako na Biblia ukitaka. Lakini bahati mbaya una degree ya matusi.Mimi naongea ukweli nyie endeleni kuimba Haleluya kama itawasaidieni. Mtanikumbuka mkisha fika makaburini kama Yesu atawasaidieni.
Hezbullah ipo na inazidi kuwa na nguvu wacha wafuasi wa mkosa nyumba alie lala pale njia ya panda ya kwenda Damascus na Jerusalem aendelee kuliota shetani lake huko kaburini kama alikuwa Yesu 😄 🤣Kwa hiyo kutafsiri unashindwa? Kikubwa nyie mnaogopa yule Israeli ataishi roho juu juu ...Hao jamaa ni milele hakuna wa kuwaangusha ,huyo USA mpaka awavizie ...Hizbullah idumu milele
Usikariri. Tafuta Mungu wa kweli wa Afrika. Acha kutukiza miungu ya kigeni. Hizo dini za wakoloni ni man made ili kutawala wengine.Wacha ujinga wewe hakuna miungu kuna Mungu mmoja tu, hata Yesu aliwambia wayahudi Mungu wetu ni mmoja tu. Hao miungu wengine wametengenezwa na binadamu au wamezaliwa na binadamu sio miungu.
We unifundishe mimi Qur'an mwenye majina kama utitiri. Wewe bibilia huijui hebu niambie wapi kwenye bibilia kuna Trinity.Ungekuwa muungwana ningekufundisha hiyo Quran yako na Biblia ukitaka. Lakini bahati mbaya una degree ya matusi.
Kwani uliitwa ? Punguza shobo kila mtu afuate anachotaka ...Miungu ya Afrika haipo ni stori za kahawa.Usikariri. Tafuta Mungu wa kweli wa Afrika. Acha kutukiza miungu ya kigeni. Hizo dini za wakoloni ni man made ili kutawala wengine.
Hivi Africa kumbe wana miungu yao labda ile ipo misitu ya Congo.Usikariri. Tafuta Mungu wa kweli wa Afrika. Acha kutukiza miungu ya kigeni. Hizo dini za wakoloni ni man made ili kutawala wengine.
Una uhakika wewe kichwani una akili? Mimi naona umebeba tope zito tu.Hivi Africa kumbe wana miungu yao labda ile ipo misitu ya Congo.
We tumia akili Mungu ni mmoja tu.
Ipo ya Kiarabu na Kiyahudi siyo!!Kwani uliitwa ? Punguza shobo kila mtu afuate anachotaka ...Miungu ya Afrika haipo ni stori za kahawa.
Hilo litakuwa jambo la heri sana.Soon Iran anasaini mkataba wa Amani na Marekani anawauza makobazi wa Kiarabu
We kama unaona nimebeba tope wewe utakuwa unakasoro flani tu kichwani kwako. Sababu mwenye kusema Yesu ni Mungu hata mende kamzidi akili 😄 🤣Una uhakika wewe kichwani una akili? Mimi naona umebeba tope zito tu.
Acha kuwa mtumwa wa dini za wakoloni na watesi wa babu zako.We kama unaona nimebeba tope wewe utakuwa unakasoro flani tu kichwani kwako. Sababu mwenye kusema Yesu ni Mungu hata mende kamzidi akili 😄 🤣
Wametekwa au wamejiteka??👿
Mimi sijawahi kuwa mtumwa, mimi ni Original, family yangu haina uhusiano na watumwa hata chembe.Acha kuwa mtumwa wa dini za wakoloni na watesi wa babu zako.