Hela ya ku-appeal inapatikana. Unafikiri wote waliopata mkopo wataenda vyuo? Sasa hizo pesa zao hupewa waliokosa but wawe na sababu zinazokubalika na bodi. Ndio maana wakatoa siku 90 ili wale watakaoshindwa kusaini mkopo wapewe waliokosa!!!:
Hela ya ku-appeal inapatikana. Unafikiri wote waliopata mkopo wataenda vyuo? Sasa hizo pesa zao hupewa waliokosa but wawe na sababu zinazokubalika na bodi. Ndio maana wakatoa siku 90 ili wale watakaoshindwa kusaini mkopo wapewe waliokosa!!!:
mkuu umeongea kitu cha maana sana maana hata tcu nao ilikuwa hvyohvyo kufatilia profl mara kwa mara watu wengne walikosa vyuo sababu ya kutotembelea mara kwa mara