HESLB nihurumieni, kila mwaka mkopo sipewi

HESLB nihurumieni, kila mwaka mkopo sipewi

Daaah kama mimi tu, nmemaliza kidato cha 6 mwaka 2018,tangu muda sijawahi kunusa harufu ya mkopo wa bodi hivo nmekosa fursa ya kusoma bachelor,na mwaka huu nilikua out of vigezo vya uombaji wa mkopo japo chuo nmechaguliwa tena ila uhakika wa kwenda kusoma ni 1%
 
Nimemaliza kidato cha sita 2019 na nimefaulu vizur nikiomba vyuo napewa nafasi lakini sijaenda kusoma maana kila mwaka mkopo sipewi msaada jamani
Mwaka huu bado hata hawajatoa majina tayari umesema kila ukiomba unakosa kwanini usisubili mkeka utoke kwanza?
 
Daaah kama mimi tu, nmemaliza kidato cha 6 mwaka 2018,tangu muda sijawahi kunusa harufu ya mkopo wa bodi hivo nmekosa fursa ya kusoma bachelor,na mwaka huu nilikua out of vigezo vya uombaji wa mkopo japo chuo nmechaguliwa tena ila uhakika wa kwenda kusoma ni 1%
Wewe unahitaji maombi ya Mwamposa daah
 
Daaah kama mimi tu, nmemaliza kidato cha 6 mwaka 2018,tangu muda sijawahi kunusa harufu ya mkopo wa bodi hivo nmekosa fursa ya kusoma bachelor,na mwaka huu nilikua out of vigezo vya uombaji wa mkopo japo chuo nmechaguliwa tena ila uhakika wa kwenda kusoma ni 1%
Hapo kwenye kijani, unamaanisha nini?
 
Hapo kwenye kijani, unamaanisha nini?
Mkuu, nilikua out of vigezo mwaka huu kwasababu bodi ya mkopo walitoa mwongozo kwa waombaji kuwa,wenye sifa ya kuomba mkopo ni waliomaliza kuanzia mwaka 2019 hadi 2023,,hivyo mi niliyemalza 2018 sikua na sifa hiyo.

Na hata nilipojaribu kuomba hvo hvo control number niliyopewa nilipie maombi yangu iligoma kupokea malipo hadi dirisha linafungwa
 
Back
Top Bottom