Kama hujui haya mambo unaacha wanaoyajua wayaseme, inawezekana wewe ni kijana wa Primary halafu unajifanya mbelembele kujibu maswali wanayopaswa kujibu wanaoelewa... Bora kukaa kimya tusijue urefu wa akili yako!!
KWA TAARIFA YAKO, UKIONA TU JINA LAKO BILA KUJALI % ULIZOPATA..... MEALS, ACCOMODATION UNAVYO!!! WASIOPTA VITU HIVI NI WALE AMBAO MAJINA YAO HATA KUONEKANA HAYAKUPATA NAFASI KWENYE LIST <<DISQUALIFIED>>!!!