Mama ni mlezi,mama ni mfariji na mama ni mwenye huruma.Mama huwa mpole na mnyenyekevu.Huyu amekuwa kama mfalme wa wamoabi,mbabe na si mama.Namkataa na mabavu yake yote,mimi si mama yangu.
Na wewe sio Mwanawe vilevile.
Wewe ni
Mwana mpotevu, wala si mwana wa kheri.
Tena ni mbabaifu, unaejifanya hodari
Wakati mwengine hujifanya mnyofu. Kumbe ni hatari.
Mwana wewe ni mtovu, wa adabu na kiburi.
Na wewe sio Mwanawe vilevile.
Wewe ni
Mwana mpotevu, wala si mwana wa kheri.
Tena ni mbabaifu, unaejifanya hodari
Wakati mwengine hujifanya mnyofu. Kumbe ni hatari.
Mwana wewe ni mtovu, wa adabu na kiburi.
Mama ni mlezi,mama ni mfariji na mama ni mwenye huruma.Mama huwa mpole na mnyenyekevu.Huyu amekuwa kama mfalme wa wamoabi,mbabe na si mama.Namkataa na mabavu yake yote,mimi si mama yangu.
Na wewe sio Mwanawe vilevile.
Wewe ni
Mwana mpotevu, wala si mwana wa kheri.
Tena ni mbabaifu, unaejifanya hodari
Wakati mwengine hujifanya mnyofu. Kumbe ni hatari.
Mwana wewe ni mtovu, wa adabu na kiburi.
Mama ni mlezi,mama ni mfariji na mama ni mwenye huruma.Mama huwa mpole na mnyenyekevu.Huyu amekuwa kama mfalme wa wamoabi,mbabe na si mama.Namkataa na mabavu yake yote,mimi si mama yangu.
Mama ni mlezi,mama ni mfariji na mama ni mwenye huruma.Mama huwa mpole na mnyenyekevu.Huyu amekuwa kama mfalme wa wamoabi,mbabe na si mama.Namkataa na mabavu yake yote,mimi si mama yangu.
Ni kama ilivyo kwa madereva bodaboda. Unakuta aliyekuwa dereva wa kiongozi fulani, akiingia tu kwenye kuendesha bodaboda anakuwa kama wao..!! Ndo nature ilivyo, automatically unaadapti mazingira uliyopo, na pengine bila hata wewe kujua.
Mchukue mngoni wa Lipalamba leo hii na kumpeleka Kishumundu, wallahi kiswahili chake kinageuka toka cha kingoni na kuwa cha kichaga..!!
Mama ni mlezi,mama ni mfariji na mama ni mwenye huruma.Mama huwa mpole na mnyenyekevu.Huyu amekuwa kama mfalme wa wamoabi,mbabe na si mama.Namkataa na mabavu yake yote,mimi si mama yangu.
Mama ni mlezi,mama ni mfariji na mama ni mwenye huruma.Mama huwa mpole na mnyenyekevu.Huyu amekuwa kama mfalme wa wamoabi,mbabe na si mama.Namkataa na mabavu yake yote,mimi si mama yangu.
Huyu si mama kabisa hata ndoa alikuwa mke wa tatu reject! Mrupo mkubwa umezaa na jakaya na wengi wengineo! Ana majeraha makubwa ya wanaume waliokula na kuacha na sasa yuko kwenye state of denial ya kufa mtu! Ni Jexebel proper