Sawa wadau nitajitambulisha kwenye jukwaa la utambulisho siku nyingine, kuku mgeni hakosi kamba mguuni.
no umesalimia kama popooooooooooooooooooooooooooooooooooooooh!utakuta kichwa cha habari hello habari yenyewe sasa mimi mtoto wa general nani sijui aliyefariki huko lagos akaacha mamilioni ya pesa kwa acc yake so nisaidie kuzitoa maana naishi kama mkimbizi kwenye kambi ya,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,kumbe upopo tu!popoooooooooooooooooooooooooooooooooh