Natafuta kazi ya ukondakita. Kwa hapa dar es salaam.......mie muaminifu na mcahapakazi kwa mawasiliano zaid kama unayo gari nishutue email au kwa kukoment .....mymkee@gmail.com
Kama umeshindwa kujua jukwaa la kazi lilipo, kazi ya ukonda utaiweza kweli ?? Naona hauko sawa utagombana na dreva wako kila siku