C CHRISTURKER JF-Expert Member Nov 24, 2012 266 54 Nov 24, 2012 #1 Mie ni mgeni wenu jamani hapa JF,naomba mnikaribishe na naahidi kutoa ushirikiano na kufuata taratibu zote za hapa.Mbarikiwe sana
Mie ni mgeni wenu jamani hapa JF,naomba mnikaribishe na naahidi kutoa ushirikiano na kufuata taratibu zote za hapa.Mbarikiwe sana
M Mutakyamirwa JF-Expert Member Jan 24, 2011 4,942 1,357 Nov 24, 2012 #3 Karibu. Haya ndo utakayo yaona jf: mkinzano wa mawazo; hoja za mashiko; uwazi na ukweli pasipo woga; matusi (japo kuna ban); baadhi ya jf kutetea uozo(sijui kwa masilahi ya nani). utayaona mengi...in short. Karibu tena.
Karibu. Haya ndo utakayo yaona jf: mkinzano wa mawazo; hoja za mashiko; uwazi na ukweli pasipo woga; matusi (japo kuna ban); baadhi ya jf kutetea uozo(sijui kwa masilahi ya nani). utayaona mengi...in short. Karibu tena.
KIJOME JF-Expert Member Jun 7, 2012 3,084 732 Nov 24, 2012 #4 Karibu sana ila tahadhari kama unatokea lumumba uje ufanye kazi ya magamba hapa utapaona pachungu....
Karibu sana ila tahadhari kama unatokea lumumba uje ufanye kazi ya magamba hapa utapaona pachungu....
Marire JF-Expert Member May 1, 2012 12,326 5,266 Nov 24, 2012 #5 Upo upande gani mkuu,magamba au jeshi la kukomboa Tz iliyochakazwa dikilia interest mapema
Arushaone JF-Expert Member Mar 31, 2012 15,136 13,258 Nov 27, 2012 #12 CHRISTURKER said: Mie ni mgeni wenu jamani hapa JF,naomba mnikaribishe na naahidi kutoa ushirikiano na kufuata taratibu zote za hapa.Mbarikiwe sana Click to expand... Karibu, soma na kufuata sheria, kumbuka kuheshimu members wenzako, nimemaliza!
CHRISTURKER said: Mie ni mgeni wenu jamani hapa JF,naomba mnikaribishe na naahidi kutoa ushirikiano na kufuata taratibu zote za hapa.Mbarikiwe sana Click to expand... Karibu, soma na kufuata sheria, kumbuka kuheshimu members wenzako, nimemaliza!