Ukweli ni kwamba najisaidia haswaaa...[emoji12] [emoji12]Mzee kunya ukalale sitoi kiki kwa makamasi[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji13]
Am I welcomed?
Umesema May mwaka gani vile??Mkuu....
Ebu naomba niwe mkweli kwa huu unao uita ugeni wako.....
Kwanza nimeshakua na neno la kusema kwamba..... I'D nyingi zilizo anzia May 2917 zina tatizo.
Pili wewe ni mwenyeji sana humu jf na nivyema ukatumia I'D yako ya zamani.
Ukibisha niambie niendelee......
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Amigo.....Umesema May mwaka gani vile??
Am I welcomed?
Ndo umeandika nini mkuu?Yes you are very much welcomed by all good people on JF. Feel free to contribute to any thread you feel like contributing. Remember there are also very bad people, very stupid people on here. Be aware.
Mmhh..unamaanisha nini mkuu?Am I welcomed?
Ndo umeandika nini mkuu?
brain is the beautiful part of the body.
Tatizo ilikuwa lugha mkuu, kama ndo ulimaanisha hivyo basi ahsante nimekuelewa...Kama unaweza kutumia ubongo wako, wengi sana hawawezi, wewe unaweza kutumia ubongo wako? Inabidi wafuate ndugu zao na marafiki zao.
MKuu, Swali lako ni nini? Kitu gani haukijui au aukielewi?
Mama usijari sogea karibu nikupetipeti kidogoMbona wengine wakali sana nitapaweza kweli humu jomon?
Lakini asante kwa wote mlionikaribisha vizuri
Sent using Jamii Forums mobile app
Yani huyu kunikaribisha vibaya kama vile picha yake ilivyo mbaya khaaaUkweli ni kwamba najisaidia haswaaa...[emoji12] [emoji12]
Tena ninajisaidia kwelikweli, maana ninakula na kushiba kila baada ya kutoka shambani....[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kwahiyo.....
Kunya lazima ninye, lakini silali saivi tafadhali......
Alafu....
Kwanini usitumie I'd yako ya zamani, ile ninayo ifaham.....[emoji45] [emoji45] [emoji45] au ndio ushakua mrahabu wa yale mambo yenu ya kiki kwa pikipiki....[emoji13] [emoji13] [emoji13]
Mweee hivyo tena ndo mnavyofanya huku?Mama usijari sogea karibu nikupetipeti kidogo
Huyo ni DELICIOUS usijari sana mama..anakulaga makamasi usibabaike,love u sanaYani huyu kunikaribisha vibaya kama vile picha yake ilivyo mbaya khaaa
Sent using Jamii Forums mobile app