Hello if members am new here

Mzee kunya ukalale sitoi kiki kwa makamasi[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji13]
Ukweli ni kwamba najisaidia haswaaa...[emoji12] [emoji12]
Tena ninajisaidia kwelikweli, maana ninakula na kushiba kila baada ya kutoka shambani....[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kwahiyo.....
Kunya lazima ninye, lakini silali saivi tafadhali......
Alafu....
Kwanini usitumie I'd yako ya zamani, ile ninayo ifaham.....[emoji45] [emoji45] [emoji45] au ndio ushakua mrahabu wa yale mambo yenu ya kiki kwa pikipiki....[emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
USHIMEN DELICIOUS[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Am I welcomed?

Of course, you are very much welcomed by all good people on JF. Feel free to contribute to any thread to anything you feel like contributing. Remember there are also very bad people, very stupid people on here. Be aware.
 
Umesema May mwaka gani vile??
 
Yes you are very much welcomed by all good people on JF. Feel free to contribute to any thread you feel like contributing. Remember there are also very bad people, very stupid people on here. Be aware.
Ndo umeandika nini mkuu?

brain is the beautiful part of the body.
 
Ndo umeandika nini mkuu?

brain is the beautiful part of the body.

Kama unaweza kutumia ubongo wako, wengi sana hawawezi, wewe unaweza kutumia ubongo wako? Inabidi wafuate ndugu zao na marafiki zao.

MKuu, Swali lako ni nini? Kitu gani haukijui au aukielewi?
 
Kama unaweza kutumia ubongo wako, wengi sana hawawezi, wewe unaweza kutumia ubongo wako? Inabidi wafuate ndugu zao na marafiki zao.

MKuu, Swali lako ni nini? Kitu gani haukijui au aukielewi?
Tatizo ilikuwa lugha mkuu, kama ndo ulimaanisha hivyo basi ahsante nimekuelewa...

Shukrani sana kwa tafsiri nzuri yenye kutukuka!

brain is the beautiful part of the body.
 
Yani huyu kunikaribisha vibaya kama vile picha yake ilivyo mbaya khaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…