machali wa arusha hawaaminiki, waambie waende bank na microfinance mbona wanapata tu kama wanasifa. kwa nini uhangaike kuomba kwa watu binafsi na viriba vya ajabu ajabu.
machali wa arusha hawaaminiki, waambie waende bank na microfinance mbona wanapata tu kama wanasifa. kwa nini uhangaike kuomba kwa watu binafsi na viriba vya ajabu ajabu.
Waende pale njia ya kuelekea Shoprite kuna jengo kubwa kuna maofisi kibao nimesahau jina upande wa kushoto kabla hujafika shoprite,kuna mjasiria mali pale ana ofisi anakopesha fedha ni kama microfinance fulani hivi
Waende pale njia ya kuelekea Shoprite kuna jengo kubwa kuna maofisi kibao nimesahau jina upande wa kushoto kabla hujafika shoprite,kuna mjasiria mali pale ana ofisi anakopesha fedha ni kama microfinance fulani hivi