Iron
JF-Expert Member
- Sep 4, 2008
- 363
- 150
Watu wa haki za binadamu mtanisamehe. Hivi wanaume wamekuwaje jama? Mimi siku zote huwa nasikia mashoga... mashoga. Sijawahi mwona uso kwa uso. Juzi maeneo ya Jangwani nipo kwenye foleni naona mtu anajitembeza kwenye hizi barabara zinazojengwa za mabasi yaendayo kasi. Loh! Jianaume zima limejiremba na kujilegeza legeza alafu linajitembeza kwa kuvuta attntion. Halafu saa tano asubuhi. Mpaka nywele limeweka dawa. Ilikuwa kituko kuna ustaadhi mmoja alitaka kumzaba kibao. Mpaka sasa nashindwa kuelewa inakuwaje mwanaume unafurahia kupumuliwa kisogoni? Too bad