heche ni muongo," Watu hawana maji Dar miaka 64 baada ya uhuru, Taifa la tatu kuwa na vyanzo vingi vya maji ni vizuri tukawaambia hawa watu kuwa watanzania si wajinga watanzania wanajua nyie ndio mmeingiza taifa kwenye matatizo haya kwa kuteka watu na kuiba rasilimali za nchi, kuiba uchaguzi na kuumiza watu" Mhe. HecheJohn
Wewe jamaa, usiwe hivyo aisee.Kuna muda hizo akili zenu zinazowaza siasa na ushabiki muda wote mziweke pembeni.Watu wanavyoteseka hivi na maji kweli, unaleta ushabiki??heche ni muongo,
maji yanapatikana maeneo yote jiji la dar es salaam
kila kona ya jiji la dar es salaam maji yanatoka kwa wakati muafaka ulioelekezwa kwenye ratiba iliyotolewa na mamlaka ya maji jijini Dar es Salaam,Wewe jamaa, usiwe hivyo aisee.Kuna muda hizo akili zenu zinazowaza siasa na ushabiki muda wote mziweke pembeni.Watu wanavyoteseka hivi na maji kweli, unaleta ushabiki??
Mbona anachanganya mambo,hapohapo maji hapohapo 29/10, kuiba rasilimali,yuko sawa kweli!?" Watu hawana maji Dar miaka 64 baada ya uhuru, Taifa la tatu kuwa na vyanzo vingi vya maji ni vizuri tukawaambia hawa watu kuwa watanzania si wajinga watanzania wanajua nyie ndio mmeingiza taifa kwenye matatizo haya kwa kuteka watu na kuiba rasilimali za nchi, kuiba uchaguzi na kuumiza watu" Makamu mwenyekiti CHADEMA Mhe. Heche John
Hapo kaoga,kachamba maji ya Bomba na bado analia majikila kona ya jiji la dar es salaam maji yanatoka kwa wakati muafaka ulioelekezwa kwenye ratiba iliyotolewa na mamlaka ya maji jijini Dar es Salaam,
Na maji yanatoka vizuri tu maeneo yote kulingana na ratiba.
Heche anafaa kujitenga na uongo na kuropoka mambo ambayo hayana ukweli wowote.
Yeye yupo kwenye media mjini kueleza uongo, wakati huo kwenye eneo analoishi maji ndio yanatoka sasa kulinga na ratiba.
Zingatieni ratiba na muache porojo na uzushi
huenda kachanganyikiwa kwasababu hata ukimtazama tu kuna kitu hakiko sawa ndania yakeMbona anachanganya mambo,hapohapo maji hapohapo 29/10, kuiba rasilimali,yuko sawa kweli!?
Kama anahofia matokeo ya zile kauli zao tutakinukisha pasikalike, tutazuwia uchaguzi by any means,atulie,dozi itamfikia tu
Kuna Kono lenye manyoya linamnyemelea,na kukimbia nchi hawezihuenda kachanganyikiwa kwasababu hata ukimtazama tu kuna kitu hakiko sawa ndania yake
atapinda zaidi huo mdomo wa kuropokaropoka humu humu nchini hadi atie adabu na aache hiyo tabia ya hovyo ya kuropokaropokaKuna Kono lenye manyoya linamnyemelea,na kukimbia nchi hawezi
sio mzima kichwani weweheche ni muongo,
maji yanapatikana maeneo yote jiji la dar es salaam
sure,sio mzima kichwani weweView attachment 3517111