Baadhi yake ni
1. Mbunge mmoja wa CDM ni sawa na viongozi 60 wa ccm kiutendaji.
2. Kama hamuwezi kulipia pantoni, pigeni mbizi
3. Kwahiyo inamaana baba yake Dr.Slaa ni shoga.
4. Niwarambe nisiwarambe?
5. CCM oyee __>kwenye uzinduzi wa mkoa mpya.
6. Huyu mbunge wenu kwanza alishanitaka kimapenzi nikakataa nikafukuzwa uwanachama,!
7. Ma DC wakivaa nguo za chama wanapokua ofisini hakuna tatizo.
8. Waambieni hii nchi inawenyewe wakafanye uhuni wao kwa maasimu wao nchi za nje.
9. Walimu wanataka mishahara minono wakati ni watu waliofeli
10. CDM ndio inaharibu wanafunzi chuoni na kushinikiza migomo
11. Hii bendera yao mimi namfungia mbwa (kweli akamfungia)
12. Kuweka bendera ya ccm kwenye jeneza
13. Huyu hawezi siasa akauze vilabu vya pombe uchagani
==<>=<>==
HEBU ENDELEZA KIDOGO......
Baadhi yake ni
1. Mbunge mmoja wa CDM ni sawa na viongozi 60 wa ccm kiutendaji.
2. Kama hamuwezi kulipia pantoni, pigeni mbizi
3. Kwahiyo inamaana baba yake Dr.Slaa ni shoga.
4. Niwarambe nisiwarambe?
5. CCM oyee __>kwenye uzinduzi wa mkoa mpya.
6. Huyu mbunge wenu kwanza alishanitaka kimapenzi nikakataa nikafukuzwa uwanachama,!
7. Ma DC wakivaa nguo za chama wanapokua ofisini hakuna tatizo.
8. Waambieni hii nchi inawenyewe wakafanye uhuni wao kwa maasimu wao nchi za nje.
9. Walimu wanataka mishahara minono wakati ni watu waliofeli
10. CDM ndio inaharibu wanafunzi chuoni na kushinikiza migomo
11. Hii bendera yao mimi namfungia mbwa (kweli akamfungia)
12. Kuweka bendera ya ccm kwenye jeneza
13. Huyu hawezi siasa akauze vilabu vya pombe uchagani
==<>=<>==
HEBU ENDELEZA KIDOGO......
"Wasichana kubeba mimba utotoni ni viherehere vyao"
Baadhi yake ni
1. Mbunge mmoja wa CDM ni sawa na viongozi 60 wa ccm kiutendaji.
2. Kama hamuwezi kulipia pantoni, pigeni mbizi
3. Kwahiyo inamaana baba yake Dr.Slaa ni shoga.
4. Niwarambe nisiwarambe?
5. CCM oyee __>kwenye uzinduzi wa mkoa mpya.
6. Huyu mbunge wenu kwanza alishanitaka kimapenzi nikakataa nikafukuzwa uwanachama,!
7. Ma DC wakivaa nguo za chama wanapokua ofisini hakuna tatizo.
8. Waambieni hii nchi inawenyewe wakafanye uhuni wao kwa maasimu wao nchi za nje.
9. Walimu wanataka mishahara minono wakati ni watu waliofeli
10. CDM ndio inaharibu wanafunzi chuoni na kushinikiza migomo
11. Hii bendera yao mimi namfungia mbwa (kweli akamfungia)
12. Kuweka bendera ya ccm kwenye jeneza
13. Huyu hawezi siasa akauze vilabu vya pombe uchagani
==<>=<>==
HEBU ENDELEZA KIDOGO......
Mkuu hebu nikumbushe kidogo,hiyo namba 6 ilikuwa wapi?nani huyo alirusha hilo dongo?
14: Mpaka Clinton kutembelea tanzania ujue ccm tumefanya makubwa. (By B.W.M ktk Kampeni za mwaka 2000)
Ukitaka kula lazima uliwe-JK
6 . Diwani mmoja mwanamke aliehama tena kutoka CDM kwenda CCM jana wakati wa ujio wa Kinana na Nape Arusha