M mama kokuu Senior Member Oct 11, 2012 131 22 Nov 25, 2012 #21 Nchi yako inarasilimali nyingi sana kwann wananchi wako ni masikini anajibu mimi sijui.
S slufay JF-Expert Member Apr 2, 2012 1,385 159 Nov 25, 2012 #22 Tanzania tumepata bahati ya kuwa kwanza kuonana na #araka Obam J.K soon after elected us president barak obama
Tanzania tumepata bahati ya kuwa kwanza kuonana na #araka Obam J.K soon after elected us president barak obama
MARCKO JF-Expert Member Jun 10, 2011 2,258 274 Nov 25, 2012 Thread starter #23 Mimi kama msajili sishauri maswala ya maandamano. Na chama kitakachovunja utaratibu huu tutavifutia usajili. Wakati wa kampeni umeisha.
Mimi kama msajili sishauri maswala ya maandamano. Na chama kitakachovunja utaratibu huu tutavifutia usajili. Wakati wa kampeni umeisha.
lufungulo k JF-Expert Member Apr 19, 2012 2,542 1,973 Nov 26, 2012 #24 hakuna kama kikwete@slaa wakati wa harambee ya uchangiaji hospitali ya ccbrt