Heartbroken No More!

Nasema ume move on,kwani haiwezekani?
Ila una mwandiko wa kiumeee..
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mleta mada nimemuelewa sana.
Achana Na kitu kinaitwa Love tena ile real love Kwa MTU halafu Huyo MTU isiwe naye tena.Yaani unamblock unamblokuwa.Unamblokuuuu unambokuwa.Aiseeee Jesus!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jimbo lingine huru ili ngoja nichukue fomu mapema kwa ticket ya fisiemi kabla hazijapanda bei
Kauli mbiu
Mwaka huu ni kupita bila kupingwa
 

Pole sana kwa uliyapitia
Lakini sioni sababu ya msingi kuendelea kufanya ujinga mdogo kama huu, maana umeacha mengi ya kijinga uliyokua ukifanya kama hayo uliyoyasema kwa nini hili likurudishe nyuma

Sahau yaliyopita na uenjoy maisha mkuu,
 
Nikumbushe nikuletee zawadi ya tenga la nyanya n vitunguu
 
aaaah hii ndo ilikua #tbt


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Alivyoandika kuhusu block tu nikaona bado X yupo moyoni na akilini kwake
 
Eti TBT πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…