check kwenye website ya tpdc wametoa schedule ya oral interview. link hiyo hapo
http://www.tpdc-tz.com/Call for Oral Interview.pdf
Haya wadua wote mliofanikiwa kupita usahili wa kuandika yaani written interview. Soma ratiba ya Oral Interview itafanyika mikocheni. Nawatakia maandalizi mema. Kumbukeni ukitoa zile za security zote zilizobaki rejeeni katika kozi mlizosoma hasa 2nd na 3rd or 4th year.
Nawasilisha.
http://www.tpdc-tz.com/Call for Oral Interview.pdf
Haya wadua wote mliofanikiwa kupita usahili wa kuandika yaani written interview. Soma ratiba ya Oral Interview itafanyika mikocheni. Nawatakia maandalizi mema. Kumbukeni ukitoa zile za security zote zilizobaki rejeeni katika kozi mlizosoma hasa 2nd na 3rd or 4th year.
Nawasilisha.