Usiku huwa ninatibu VIP wa kike sio Midume kama wewe ni mchana tu vipi upo shift ya usiku kazini nini?Mkuu kijembeee Si unajuwa tena kazi na Dawa......................
Ndugu zake wakimuona hivyo watahisi kaka yao au ndugu yao amerogwa na mke wake itakuwa ni kasheshe kweli inaonyesha huyu atakuwa ni M-bongo huyu.. Mzinga
MziziMkavu kwangu mimi, binafsi yangu kama nipo siumwi wala sina nini mume wangu hawez akafanya kazi za kufua nguo kama hivyo. Binafsi nampongeza kwa kuona kuwa anapaswa kumsaidia mkewe na ametimiza wajibu huo.
Kwa huyu mwanamke Mungu na amuone asikae hata siku moja akamuumiza mumewe manake hakika ni upendo wa ajabu, tenaMungu ampe hekima sana aweze kutimiza wajibu wake kwa mumewe kama impasavyo. Mzee analinda dozi hapo chezeya mwanaume weye. usiku unafkr utamwambia unataka kimoja akuelewe lolest.