Mwana Mtoka Pabaya
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 15,118
- 16,470
Kulinda heshima. Next year tunakuja na akili mpya...too late erooz!, hata muarabu akitoka na yeboyebo nae keshatoka!
ni kusubiri nxt yr....!!
Kulinda heshima au kujishushia heshima? Mechi za CAF hazichezeshwi na refarii demuKulinda heshima. Next year tunakuja na akili mpya
Mna visa nyie wachumba...kwa hiyo mlitupa mkatupa tena kwa kuwa alichezesha shoga yenu?Kulinda heshima au kujishushia heshima? Mechi za CAF hazichezeshwi na refarii demu
Ni kweli usemavyo. Yanga tulitoa tukatoa tenaMna visa nyie wachumba...kwa hiyo mlitupa mkatupa tena
Simba 2029...too late erooz!, hata muarabu akitoka na yeboyebo nae keshatoka!
ni kusubiri nxt yr....!!
2029 bado watakua wanapanga timu labda 2079 kipindi hiko kina mgosi umri wa mpira ndo umekubaliSimba 2029
2029 bado watakua wanapanga timu labda 2079 kipindi hiko kina mgosi umri wa mpira ndo umekubali