hata kama unampenda SANAAAAAAAAA .... tafakari TABIA zake .............je
1. anastahili kuwa MUME wako ...............ufunge nae pingu za maisha????
2. anastahili kuwa BABA WATOTO wako??? awe kiongozi wa familia yako?
3. Ana hadhi ya wewe kumjulisha kwa marafiki/ndugu/jamaa -(kwa tabia yake) bila wewe kuona aibu??
kama majibu ni SIVYO.............basi TABIA ikufanye UFUTE HISIA ZA UPENDO KWAKE .... MUNGU ATAKUPA ANAYEKUFAA.... HE IS SOMEWHERE....
give it time ......mtukutana tu siku moja
Mapenzi kitu cha ajabu saana... hakina adabu wala hakijali kua ushakua
mtu mzima na ya paswa utulie.... Wee hapo hujarogwa dear... ni mapenzi,
na woote ambao wamejaliwa na maanani kujisikia hivo mie personally husema
wana bahati for it is a great feeling....
However mpaka ume notice kua kakushika masikio.... huwezi maliza nae mda
sasa for utambuzi ni first step, the second utashangaa siku hio from nowhere
umeamua kua s/he is not worth it! and you have to move on...
Hajarogwa hata bali inaelekea jamaa kwenye mahaba na maufundi anakufikisha dunia ya tano. Hutakaa umuache hata siku moja!Jamani mi nahisi nimelogwa kila ninapota kuachana na huyu jamaa najikutanimerudiana naye, mbali navituko anavyonifanyia ikiwemo kunicheat na nimeshamfumania na mwanamke ambaye ni X wake mara kadhaa na kwenye simu wakiwasiliana lkn sibanduki hadi police tumeshafikishana na kumlaza ndani siku 1,baada ya kuniomba radhi nikamsamehe mwezi baadaye tukarudiana je hiki ni nn? huwa nawaza sana na hisi akili yangu ataniudhi sana eitha kwa ulevi au maneno mm ndo naumia kwa kumuwaza yeye, sili, silali kila dakika anaclick kichwani. Naomba mnisaidie humu jamvini ni nn hiki?
sifa zote tatu hana, ingawa sifikirii kuolewa zaidi ya kutafuta mtoto na baba ambaye ni responsible... Na ndomaana na sisitiza nitakuwa nimelogwa kwa nini kwako yeye mivumilie yote hayo? Ingawa nakiri panapo majambozi yuko vzr.
ni mwaka tangu nimeanza kuliona hilo lkn wapi, mpaka marafiki wakaribu wanasema ss so wakuingilia watakuwa wanabaki naaibu bure! Ni nn hiki?