Haya ni Madini gani?

Hayo si mi mawe tu yako kila sehemu?
 
Utapeli una mpaka yake sio kila mmoja utamtapeli.

Hakuna madini hapo ni mawe ya kawaida tu yanauzwa kama kokoto fulani za kutumia ka floor ya tarazo.
 
Hizo ni aina ya kokoto tu mkuu na zimejaa sana kule Tosamanganga.

Magu legeza kamba hali mbaya huku.
 
Hivyo ni vijiwe vya marble, kwa hali, size na shape hiyo havina thamani, ila likikatwa jiwe likatoa slab ya 2mx0.62mx0.18m na likawa well polished, linakuwa na thamani ya kati ya 150,000/= hadi 200,000/= sokoni
 
Wasikudanganye hao,hayo ni madin ya feldspar,..nishauza sana hayo kiwanda cha goodwill mkuranga,..yanauzwa kwa tani,..mfano mi nilikua nauza elf80 kwa tani,..sabab nilikua nayatoa karib na kiwandan,
 
duh,hiyo mikono yako mbona mibaya hivo mkuu?
 
Mbona mengi sana halafu yako kama njiani tu vile haiwezekani yawe madini, ungenishawish kama yangekuwa ndani ya shimo a. K. a kichuguu
 
Hayo yanaitwa madini kokoto..soko lake lipo sana hapa town hasa kwa wanaojenga nyumba..unahitaji ukusanye kama hayo yakae lori apo ndipo utafaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…