Hayo ni madini japo sijui aina yake., Ila Kwa sasa wabongo wenzio watakwambia Hayana dili, yaifadhi wakiyapata wachina au wazungu ndiyo utasikia thamani yake kiongozi. Nadhani hata Kama ungelikuwa ndiyo umeokota dhahabu Kwa kuwa hatujuwi dhamani au kazi ya kitu hicho kibongo bongo ni ungeambiwa hayana dili.