flintsky
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 654
- 744
wanajukwaa chit chat
kuna maneno enzi fulani ukiongea au ukiyaunganisha katika misemo inaleta ladha unaonekana mjanja wa town sana.
hebu leo tujikumbushie kwa uchache vibwagizo hivyo.japokuwa kuna maneno baadhi kipindi hicho yalikuwa na kiki kuliko sasa japokuwa yanatumika ila sio kivile!
kama "kasheshe" hili neno lilitumika sana kama ulikuwa huliongei kitambo hicho basi we ndezi kiwango cha maji ya mtera!
"mshkaji"hili neno enzi hizo lilikuwa hot sana kila mtu alitaka kulinena aonekane amelisema na anaenda na wakati huo.ilifikia mtu atasema hata kuku washkaji zangu basi aseme mshkaji tu*
"chelea pina"hii kuitikia salamu
' fuba' hii iliwakilisha pesa.
na mengine mengi mtajazia wana chit chat nisiwajazie
kuna maneno enzi fulani ukiongea au ukiyaunganisha katika misemo inaleta ladha unaonekana mjanja wa town sana.
hebu leo tujikumbushie kwa uchache vibwagizo hivyo.japokuwa kuna maneno baadhi kipindi hicho yalikuwa na kiki kuliko sasa japokuwa yanatumika ila sio kivile!
kama "kasheshe" hili neno lilitumika sana kama ulikuwa huliongei kitambo hicho basi we ndezi kiwango cha maji ya mtera!
"mshkaji"hili neno enzi hizo lilikuwa hot sana kila mtu alitaka kulinena aonekane amelisema na anaenda na wakati huo.ilifikia mtu atasema hata kuku washkaji zangu basi aseme mshkaji tu*
"chelea pina"hii kuitikia salamu
' fuba' hii iliwakilisha pesa.
na mengine mengi mtajazia wana chit chat nisiwajazie