Salahan JF-Expert Member Sep 10, 2014 2,942 3,607 Feb 12, 2016 #1 Unashangaa nini ndio nishaamua mwenzenu nimejichanga na pesa za kudunduliza kwa mwaka mzima sasa ndio nimeamua kufungua hazina hii. Sasa sijui nile bata na my valentine au ndio niongeze mtaji. Ila biashara yangu haihitaji pesa nyingi coz mimi ni muuza shanga na mpamba kucha. ENYWAY acha wanitambue valentine hii samakisamaki moroe by muuza shanga.
Unashangaa nini ndio nishaamua mwenzenu nimejichanga na pesa za kudunduliza kwa mwaka mzima sasa ndio nimeamua kufungua hazina hii. Sasa sijui nile bata na my valentine au ndio niongeze mtaji. Ila biashara yangu haihitaji pesa nyingi coz mimi ni muuza shanga na mpamba kucha. ENYWAY acha wanitambue valentine hii samakisamaki moroe by muuza shanga.
Mzimu wa Kolelo JF-Expert Member Apr 16, 2013 2,493 7,206 Feb 12, 2016 #3 bols uongeze mtaji tu kwa haya majipu yanavyotumbuliwa sidhani lm mwaka huu utaweza kufikisha kiasi hicho tena mana tumbua tumbua na wewr imekupitia shauri yakooo
bols uongeze mtaji tu kwa haya majipu yanavyotumbuliwa sidhani lm mwaka huu utaweza kufikisha kiasi hicho tena mana tumbua tumbua na wewr imekupitia shauri yakooo
Kaveli JF-Expert Member Dec 4, 2012 5,122 8,150 Feb 13, 2016 #4 Sumaku hiyo... a.k.a uchawi wa kizungu! Nenda kajenge heshima Bar, afu kesho mornie ukakope supu kwa mama ntilie.
Sumaku hiyo... a.k.a uchawi wa kizungu! Nenda kajenge heshima Bar, afu kesho mornie ukakope supu kwa mama ntilie.