Haya my valentine nimevunja kibubu

Salahan

JF-Expert Member
Sep 10, 2014
2,942
3,607


Unashangaa nini ndio nishaamua mwenzenu nimejichanga na pesa za kudunduliza kwa mwaka mzima sasa ndio nimeamua kufungua hazina hii.

Sasa sijui nile bata na my valentine au ndio niongeze mtaji. Ila biashara yangu haihitaji pesa nyingi coz mimi ni muuza shanga na mpamba kucha.

ENYWAY acha wanitambue valentine hii samakisamaki moroe by muuza shanga.
 
bols uongeze mtaji tu kwa haya majipu yanavyotumbuliwa sidhani lm mwaka huu utaweza kufikisha kiasi hicho tena mana tumbua tumbua na wewr imekupitia
shauri yakooo
 
Sumaku hiyo... a.k.a uchawi wa kizungu!

Nenda kajenge heshima Bar, afu kesho mornie ukakope supu kwa mama ntilie.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…