Smokey D
JF-Expert Member
- Jan 30, 2013
- 2,632
- 2,114
Cheki watoto wa Tz walivyo haribika: waziri wa miundombinu John Pombe Magufuli alifanya mkutano jjni Mwanza akasema mtu yeyote akijenga pembeni mwa barabara nyumba yake tutamwekea X akashangaa watoto wanashangilia kwa furaha, akakaita katoto kamoja akakauliza mbona mnafurahi? kakamjbu bora ulete X za kiswahli 2mechoka za kizungu ambazo hata shanga hawavai watu wote pa pa pa paaaa wakampgia kale katoto makofi'