NAKEMBETWA
JF-Expert Member
- Apr 20, 2012
- 3,517
- 3,138
Ni siku ya pili sasa nashindwa kupiga simu na internet ndio majanga kabsa
Nimeamua kuhamia Halotel hapa ndio inatiririka tu
Nimeamua kuhamia Halotel hapa ndio inatiririka tu
Mbona hapa natumia Halotel inapga kazi fresh tu, halaf sio mimi karibia kila mtu hapa ana tatizo hiloSimu yako itakuwa inatatizo...
Mbona hapa natumia Halotel inapga kazi fresh tu, halaf sio mimi karibia kila mtu hapa ana tatizo hilo
Wapigie.Ni siku ya pili sasa nashindwa kupiga simu na internet ndio majanga kabsa
Nimeamua kuhamia Halotel hapa ndio inatiririka tu
Kwa nini mkuu?Halotel? Pole ndugu