Adil_101
Senior Member
- Jul 26, 2022
- 110
- 339
Hiki ndio nilichokutana nacho leo katika pitapita zangu.
Parking ambazo ziko karibu na Hotel aliyolala wamezifunga.
Ma police kibao wamesambaaa mjini, hapo imebidi niache kurecord wasije leta kashi kashi.
Maana hawachelewi kukuweka pembeni then wakaanza kukagua.
Maana wanaweza taka simu + kuona vitu vyako personal + kula muda.
Parking ambazo ziko karibu na Hotel aliyolala wamezifunga.
Ma police kibao wamesambaaa mjini, hapo imebidi niache kurecord wasije leta kashi kashi.
Maana hawachelewi kukuweka pembeni then wakaanza kukagua.
Maana wanaweza taka simu + kuona vitu vyako personal + kula muda.