Hawa ndio wasaidizi wa rais jakaya ?

Hawa ndio wasaidizi wa rais jakaya ?

sijison

Member
Joined
Jun 16, 2013
Posts
11
Reaction score
1
inasikitishasana jinsi ambavyo wasaidizi wa raisi kwamaamuzi yanayo kinzana juu ya maamuzi yakutoza kodi lineza simu baraza la mawazi linapo kaa waziri mkuu ndie mwenye kiti iweje leo makamba ajifanye ana ungana na walala hoi kupinga tozo hiyo wakati wakikao cha bunge wote mlikuwepo mnasinzia kazi yenu kuitikia ndiyooooo kilakitu mambo yakiwa magumu mna mwachia J K Tafuteni njia mbadala mbona kwenye madini hamkusanyi kodi ?acheni hizo
 
Makamba ni mnafiki anatafuta huruma ya kurudi mjengoni,mguu ndani mmoja nje akiulizwa uraiani atadai anatetea wananchi akiulizwa Chamani atadai alikuwa anawazuga wananchi ili kukijenga Chama cha Majanga.
Too late Makamba Jr.
 
Liwalo na liwe. Mkikaidi mtapigwa tu kwa ari mpya, nguvu mpya na kasi mpya. Serikali sikivu!
 
kwa nini hatuna viongozi waadilifu na wachapa kazi
hawa viongozi wetu wanaongoza kwa ku dessa
they don't know how to think for the alternative
sasa tunavyo vyanzo vya pesa kama madini, wanyama, gas, uranium n.k
kweli wananshindwa ku utilize hivi na kupata hizo hela
wenyewe wanajua kudessa tuu limesemwa basi lipitishwe
viongozi kwenye wizara husika ni vilaza
hadi Mnyika anawasaidia kufikiri
Alafu wananchi bado watawapa watu kama hawa kura for what they have done for you?
poor viongozi
 
Hella za Swiss zilizofichwa na chama cha mafisadi sizingeweza kuziba hili pengo
wanyama wetu wanaotoroshwa na wengine kuwawa kama tembo si wangeweza fidia hili pengo
tumepata gas kibao na uranium plus madini mimi nikafikiri wananchi wangepata ahueni
kumbe ndo maskini wananchi wanazidi kudhulumiwa
Ivi CHADEMA isingekuwepo sisi tungekuwa wapi
ccm ilishazoea kuona akili zetu ziko gizani
kumbe Mungu akatuletea chama kinachofanya kazi nz wananchi tena kwa ukaribu
CHADEMA kimetufumbua wengi macho
 
Back
Top Bottom