Hawa ndio vijana wa Kitanzania

Hawa ndio vijana wa Kitanzania

Mwananchi wa chini

JF-Expert Member
Joined
Jul 23, 2013
Posts
227
Reaction score
599
1. Kila kitu kinachofanywa na serikali si sahihi.

2. Ukipinga yanayofanywa na viongozi wao hata kama ni madudu utaishia kutikanwa.

3.Ukimsifia kiongozi wao wewe ni shujaa na una akili.

4. Hawana hoja na hujilinda kwa matusi.

5. Kila akifanyacho kiongozi wao yupo sahihi.

6. Hawana uwezo wa kufikiri sana.... kila kinachofanywa na mfuasi wao ni sahihi.
Leo utasikia wanatetea bangi, mimba mashuleni, kutukana bungeni ilimradi tu aliyekianzisha ni kiongozi wao.

7. Wepesi kusahau Lowassa waliyemuita fisadi 2014 leo ni rais wa mioyo yao.

8.Hawataki kutatua matatizo yao binafsi kwa kuwa wanaamini Serikali ndio inatakiwa iwatatulie.

9. Ni warahisi kupotosha kwa taarifa zisizo za kweli. Hawana muda hata wa kujiuliza au kutafuta taarifa hizo. Wanaamini sana Propaganda na media.

10. Baya Lolote litakalotokea nchini wanaamini serikali ya CCM ndio kisababishi.

11. Uwezo wao wa kufikiri umepungua japokuwa una nafuu ukilinganishwa na wa kijana wa CCM aliyekunywa maji ya bendera.

#Kijana wa CCM.

1. Wanaamini kuwa CCM ndio uzalendo wanashindwa kutofautisha uanachama na uzalendo.

2. Kwao upinzani unapaswa kufutwa nchini hawaamini kuwa uwepo wa upinzani una tija kwa taifa.

3. Kila jambo linalofanywa na serikali wanaunga tu mkono hata kama anaona kuna makosa mahali.

4. Ukiwa na mtizamo tofauti hupaswi kuutoa na ukiutoa wewe ni Nyumbu au msaliti.

5. Hawana matusi sana ukilinganisha na chadema kwa kuwa wanasubiri uteuzi.

6. Wengi waliopo CCM wapo kimaslahi wanasubiri uteuzi.

7. Waoga kukosoa viongozi wa chama chao na serikal hata kama inafanya madudu

8. Wana vyanzo vingi vya taarifa japokuwa huvipindisha kwa maslahi yao binafsi.

9. Wengi ni waoga kukisemea chama hadharani kama walivyo Chadema.

10. Wapo Radhi kumtukana mtu yeyote alimradi kaikosoa Serikali.

11. Uwezo wao wa kufikiri umepungua mtu mwenye degree anakuwa sawa na mtu ambaye hajaenda shule kabisa.

Hizi ndio block mbili za vijana tulizonazo hakuna mahali tunapokutana kwa pamoja kwa agenda zinazogusa matatizo yetu.

#Hawa ndio vijana wa Tanzania

Ole Mushi.

0712702602.
 
Asubuhi hii jamani tufanye kazi achaa porojo, naelekea kibaruani.
 
We asubuhi yote hii umekula nn? Ndomana kule umeambiwa bichwa lako kama embe dodo, usijione bora na kuwadharau vijana wenzako, fanya kazi uinufaishe familia yako.
 
Ukiwa tembo na kuna kipanya kina kusumbua, bora ni kukikanyaga kife kabisa walahi
 
1. Kila kitu kinachofanywa na serikali si sahihi.

2. Ukipinga yanayofanywa na viongozi wao hata kama ni madudu utaishia kutikanwa.

3.Ukimsifia kiongozi wao wewe ni shujaa na una akili.

4. Hawana hoja na hujilinda kwa matusi.

5. Kila akifanyacho kiongozi wao yupo sahihi.

6. Hawana uwezo wa kufikiri sana.... kila kinachofanywa na mfuasi wao ni sahihi.
Leo utasikia wanatetea bangi, mimba mashuleni, kutukana bungeni ilimradi tu aliyekianzisha ni kiongozi wao.

7. Wepesi kusahau Lowassa waliyemuita fisadi 2014 leo ni rais wa mioyo yao.

8.Hawataki kutatua matatizo yao binafsi kwa kuwa wanaamini Serikali ndio inatakiwa iwatatulie.

9. Ni warahisi kupotosha kwa taarifa zisizo za kweli. Hawana muda hata wa kujiuliza au kutafuta taarifa hizo. Wanaamini sana Propaganda na media.

10. Baya Lolote litakalotokea nchini wanaamini serikali ya CCM ndio kisababishi.

11. Uwezo wao wa kufikiri umepungua japokuwa una nafuu ukilinganishwa na wa kijana wa CCM aliyekunywa maji ya bendera.

#Kijana wa CCM.

1. Wanaamini kuwa CCM ndio uzalendo wanashindwa kutofautisha uanachama na uzalendo.

2. Kwao upinzani unapaswa kufutwa nchini hawaamini kuwa uwepo wa upinzani una tija kwa taifa.

3. Kila jambo linalofanywa na serikali wanaunga tu mkono hata kama anaona kuna makosa mahali.

4. Ukiwa na mtizamo tofauti hupaswi kuutoa na ukiutoa wewe ni Nyumbu au msaliti.

5. Hawana matusi sana ukilinganisha na chadema kwa kuwa wanasubiri uteuzi.

6. Wengi waliopo CCM wapo kimaslahi wanasubiri uteuzi.

7. Waoga kukosoa viongozi wa chama chao na serikal hata kama inafanya madudu

8. Wana vyanzo vingi vya taarifa japokuwa huvipindisha kwa maslahi yao binafsi.

9. Wengi ni waoga kukisemea chama hadharani kama walivyo Chadema.

10. Wapo Radhi kumtukana mtu yeyote alimradi kaikosoa Serikali.

11. Uwezo wao wa kufikiri umepungua mtu mwenye degree anakuwa sawa na mtu ambaye hajaenda shule kabisa.

Hizi ndio block mbili za vijana tulizonazo hakuna mahali tunapokutana kwa pamoja kwa agenda zinazogusa matatizo yetu.

#Hawa ndio vijana wa Tanzania

Ole Mushi.

0712702602.
Kuna wale ambao awali tuliamini kuwa hawafungamani na Vyama vya siasa kulingana na katiba ya nchi na taratibu za kazi zao Leo wanaibuka na kusema ," Kidumu Chama cha Mapinduzi milele".
Hii ni kwa sababu wanaona CCM ndiyo iliyopo Madarakani kwa muda mrefu na wengi wamenufaika kupitia Chama hicho.
Wengi wameamua kukiunga mkono Chama cha mapinduzi na serikali yake kwa kuwa hakuna Chama mbadala au chenye viongozi wenye uelekeo wa kuleta mabadiliko ya kifikra nchini au kuonyesha uongozi bora wa kidemokrasia na wenye mbinu tofaiti kifikra.
 
Wewe upo wapi katika hayo makundi mawili ... tuanzie hapo kwanza Mkuu
 
1. Kila kitu kinachofanywa na serikali si sahihi.

2. Ukipinga yanayofanywa na viongozi wao hata kama ni madudu utaishia kutikanwa.

3.Ukimsifia kiongozi wao wewe ni shujaa na una akili.

4. Hawana hoja na hujilinda kwa matusi.

5. Kila akifanyacho kiongozi wao yupo sahihi.

6. Hawana uwezo wa kufikiri sana.... kila kinachofanywa na mfuasi wao ni sahihi.
Leo utasikia wanatetea bangi, mimba mashuleni, kutukana bungeni ilimradi tu aliyekianzisha ni kiongozi wao.

7. Wepesi kusahau Lowassa waliyemuita fisadi 2014 leo ni rais wa mioyo yao.

8.Hawataki kutatua matatizo yao binafsi kwa kuwa wanaamini Serikali ndio inatakiwa iwatatulie.

9. Ni warahisi kupotosha kwa taarifa zisizo za kweli. Hawana muda hata wa kujiuliza au kutafuta taarifa hizo. Wanaamini sana Propaganda na media.

10. Baya Lolote litakalotokea nchini wanaamini serikali ya CCM ndio kisababishi.

11. Uwezo wao wa kufikiri umepungua japokuwa una nafuu ukilinganishwa na wa kijana wa CCM aliyekunywa maji ya bendera.

#Kijana wa CCM.

1. Wanaamini kuwa CCM ndio uzalendo wanashindwa kutofautisha uanachama na uzalendo.

2. Kwao upinzani unapaswa kufutwa nchini hawaamini kuwa uwepo wa upinzani una tija kwa taifa.

3. Kila jambo linalofanywa na serikali wanaunga tu mkono hata kama anaona kuna makosa mahali.

4. Ukiwa na mtizamo tofauti hupaswi kuutoa na ukiutoa wewe ni Nyumbu au msaliti.

5. Hawana matusi sana ukilinganisha na chadema kwa kuwa wanasubiri uteuzi.

6. Wengi waliopo CCM wapo kimaslahi wanasubiri uteuzi.

7. Waoga kukosoa viongozi wa chama chao na serikal hata kama inafanya madudu

8. Wana vyanzo vingi vya taarifa japokuwa huvipindisha kwa maslahi yao binafsi.

9. Wengi ni waoga kukisemea chama hadharani kama walivyo Chadema.

10. Wapo Radhi kumtukana mtu yeyote alimradi kaikosoa Serikali.

11. Uwezo wao wa kufikiri umepungua mtu mwenye degree anakuwa sawa na mtu ambaye hajaenda shule kabisa.

Hizi ndio block mbili za vijana tulizonazo hakuna mahali tunapokutana kwa pamoja kwa agenda zinazogusa matatizo yetu.

#Hawa ndio vijana wa Tanzania

Ole Mushi.

0712702602.
yote haya unayafikiria kwakuwa umekosa kazi ya kufanya. serikali ikazane kufungua fursa kwa viajana maana ubongo wote huo unautumia kufanya filosofi zisizo na msaada
 
Kuna wale ambao awali tuliamini kuwa hawafungamani na Vyama vya siasa kulingana na katiba ya nchi na taratibu za kazi zao Leo wanaibuka na kusema ," Kidumu Chama cha Mapinduzi milele".
Hii ni kwa sababu wanaona CCM ndiyo iliyopo Madarakani kwa muda mrefu na wengi wamenufaika kupitia Chama hicho.
Wengi wameamua kukiunga mkono Chama cha mapinduzi na serikali yake kwa kuwa hakuna Chama mbadala au chenye viongozi wenye uelekeo wa kuleta mabadiliko ya kifikra nchini au kuonyesha uongozi bora wa kidemokrasia na wenye mbinu tofaiti kifikra.
upo sahihi, tatizo ni upepo ndg.
Nikisema upepo namaanisha UPEPO KWELI.
 
1. Kila kitu kinachofanywa na serikali si sahihi.

2. Ukipinga yanayofanywa na viongozi wao hata kama ni madudu utaishia kutikanwa.

3.Ukimsifia kiongozi wao wewe ni shujaa na una akili.

4. Hawana hoja na hujilinda kwa matusi.

5. Kila akifanyacho kiongozi wao yupo sahihi.

6. Hawana uwezo wa kufikiri sana.... kila kinachofanywa na mfuasi wao ni sahihi.
Leo utasikia wanatetea bangi, mimba mashuleni, kutukana bungeni ilimradi tu aliyekianzisha ni kiongozi wao.

7. Wepesi kusahau Lowassa waliyemuita fisadi 2014 leo ni rais wa mioyo yao.

8.Hawataki kutatua matatizo yao binafsi kwa kuwa wanaamini Serikali ndio inatakiwa iwatatulie.

9. Ni warahisi kupotosha kwa taarifa zisizo za kweli. Hawana muda hata wa kujiuliza au kutafuta taarifa hizo. Wanaamini sana Propaganda na media.

10. Baya Lolote litakalotokea nchini wanaamini serikali ya CCM ndio kisababishi.

11. Uwezo wao wa kufikiri umepungua japokuwa una nafuu ukilinganishwa na wa kijana wa CCM aliyekunywa maji ya bendera.

#Kijana wa CCM.

1. Wanaamini kuwa CCM ndio uzalendo wanashindwa kutofautisha uanachama na uzalendo.

2. Kwao upinzani unapaswa kufutwa nchini hawaamini kuwa uwepo wa upinzani una tija kwa taifa.

3. Kila jambo linalofanywa na serikali wanaunga tu mkono hata kama anaona kuna makosa mahali.

4. Ukiwa na mtizamo tofauti hupaswi kuutoa na ukiutoa wewe ni Nyumbu au msaliti.

5. Hawana matusi sana ukilinganisha na chadema kwa kuwa wanasubiri uteuzi.

6. Wengi waliopo CCM wapo kimaslahi wanasubiri uteuzi.

7. Waoga kukosoa viongozi wa chama chao na serikal hata kama inafanya madudu

8. Wana vyanzo vingi vya taarifa japokuwa huvipindisha kwa maslahi yao binafsi.

9. Wengi ni waoga kukisemea chama hadharani kama walivyo Chadema.

10. Wapo Radhi kumtukana mtu yeyote alimradi kaikosoa Serikali.

11. Uwezo wao wa kufikiri umepungua mtu mwenye degree anakuwa sawa na mtu ambaye hajaenda shule kabisa.

Hizi ndio block mbili za vijana tulizonazo hakuna mahali tunapokutana kwa pamoja kwa agenda zinazogusa matatizo yetu.

#Hawa ndio vijana wa Tanzania

Ole Mushi.

0712702602.
Kapime afya ya akili ustaadh "Old Moshi sijui Mushi "utajijua mwenyewe.
 
1. Kila kitu kinachofanywa na serikali si sahihi.

2. Ukipinga yanayofanywa na viongozi wao hata kama ni madudu utaishia kutikanwa.

3.Ukimsifia kiongozi wao wewe ni shujaa na una akili.

4. Hawana hoja na hujilinda kwa matusi.

5. Kila akifanyacho kiongozi wao yupo sahihi.

6. Hawana uwezo wa kufikiri sana.... kila kinachofanywa na mfuasi wao ni sahihi.
Leo utasikia wanatetea bangi, mimba mashuleni, kutukana bungeni ilimradi tu aliyekianzisha ni kiongozi wao.

7. Wepesi kusahau Lowassa waliyemuita fisadi 2014 leo ni rais wa mioyo yao.

8.Hawataki kutatua matatizo yao binafsi kwa kuwa wanaamini Serikali ndio inatakiwa iwatatulie.

9. Ni warahisi kupotosha kwa taarifa zisizo za kweli. Hawana muda hata wa kujiuliza au kutafuta taarifa hizo. Wanaamini sana Propaganda na media.

10. Baya Lolote litakalotokea nchini wanaamini serikali ya CCM ndio kisababishi.

11. Uwezo wao wa kufikiri umepungua japokuwa una nafuu ukilinganishwa na wa kijana wa CCM aliyekunywa maji ya bendera.

#Kijana wa CCM.

1. Wanaamini kuwa CCM ndio uzalendo wanashindwa kutofautisha uanachama na uzalendo.

2. Kwao upinzani unapaswa kufutwa nchini hawaamini kuwa uwepo wa upinzani una tija kwa taifa.

3. Kila jambo linalofanywa na serikali wanaunga tu mkono hata kama anaona kuna makosa mahali.

4. Ukiwa na mtizamo tofauti hupaswi kuutoa na ukiutoa wewe ni Nyumbu au msaliti.

5. Hawana matusi sana ukilinganisha na chadema kwa kuwa wanasubiri uteuzi.

6. Wengi waliopo CCM wapo kimaslahi wanasubiri uteuzi.

7. Waoga kukosoa viongozi wa chama chao na serikal hata kama inafanya madudu

8. Wana vyanzo vingi vya taarifa japokuwa huvipindisha kwa maslahi yao binafsi.

9. Wengi ni waoga kukisemea chama hadharani kama walivyo Chadema.

10. Wapo Radhi kumtukana mtu yeyote alimradi kaikosoa Serikali.

11. Uwezo wao wa kufikiri umepungua mtu mwenye degree anakuwa sawa na mtu ambaye hajaenda shule kabisa.

Hizi ndio block mbili za vijana tulizonazo hakuna mahali tunapokutana kwa pamoja kwa agenda zinazogusa matatizo yetu.

#Hawa ndio vijana wa Tanzania

Ole Mushi.

0712702602.
Namba ya simu ya nn sasa??au ndo unatafuta ajira kwa njia hiyo???
 
Back
Top Bottom