Pasco_jr_ngumi
JF-Expert Member
- Nov 20, 2010
- 1,802
- 282
Wana JF....
hii ni hatari na wala hamuwezi kuamini!!!!
Jimbo la huyu mwanamama ni Mtwara Vijijini,,,,,laiti kama ungepata nafasi ya kutmbelea hili jimbo, huwezi kuamni kuwa wanaishi DUNIA hiii hiii au???
Jimbo hili halina umeme hata nyumba moja.......hamna maji ya bomba hata tone moja,,,,jamaaaaaaaaaani.................
Zamani enzi za Mwalimu walitanadza mabomba, nilifika nafanya research, majibu niliyopata ni aibuuuuu,,,,,,,,,,,,,,,,,wanasema yalitoka mara ya mwisho 1988.................
Nikagoogle profile ya huyu mama, ni msomi kabisa tena ana masters ya rural development pale SUA........................nikauliza nyi watanzania, miaka yake amefanya nini cha maaana......wakasema mwnyew kwenye kampeni anadai kajenga shule iitwayo MUSTAFA SABODO EDUCATION CENTER................shitttt................yaaani amjenga yule mzee na mabilioni yake yeye anadai kajenga.................
nina mengi..........lakini watu wamelala...sio CDM iko wapi????????????
hii ni hatari na wala hamuwezi kuamini!!!!
Jimbo la huyu mwanamama ni Mtwara Vijijini,,,,,laiti kama ungepata nafasi ya kutmbelea hili jimbo, huwezi kuamni kuwa wanaishi DUNIA hiii hiii au???
Jimbo hili halina umeme hata nyumba moja.......hamna maji ya bomba hata tone moja,,,,jamaaaaaaaaaani.................
Zamani enzi za Mwalimu walitanadza mabomba, nilifika nafanya research, majibu niliyopata ni aibuuuuu,,,,,,,,,,,,,,,,,wanasema yalitoka mara ya mwisho 1988.................
Nikagoogle profile ya huyu mama, ni msomi kabisa tena ana masters ya rural development pale SUA........................nikauliza nyi watanzania, miaka yake amefanya nini cha maaana......wakasema mwnyew kwenye kampeni anadai kajenga shule iitwayo MUSTAFA SABODO EDUCATION CENTER................shitttt................yaaani amjenga yule mzee na mabilioni yake yeye anadai kajenga.................
nina mengi..........lakini watu wamelala...sio CDM iko wapi????????????