Mkoa mzima wa Dodoma umewahi kusikia una wabunge?Waliopo ni wabunge wa serikali kutoka mkoa wa Dodoma!Mpaka akili itakapowasogea ndipo mtakapojua umuhimu wa kuchagua wabunge wenu na sio wa serikali.Poleni lakini.
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Yule mzee Chibulunje hakuna kitu kabisa. Kazi yake ni kukaa tu bungeni, hakuna mchango wowote anaoutoa kwa ajili ya jimbo lake. Hata alipokuwa naibu Waziri wa ujenzi hakuna lolote alilokuwa anafanya hadi alipopigwa chini.
Riwaya ya KULI - Shafi Adam ShafiNakumbuka:: Chonya of Chilonwa me!!
Mleta mada umeandika ukichukulia hadhira yako nzima inamjua huyo mbunge na mahali lilipo hilo jimbo unalozungumzia. Weka background information iliyokamilika ili wasomaji wasipate tabu kukumbuka au kujua ni mbunge gani hasa na wa wapi anayezungumziwa. Yaani umeandika kama unaowaandikia wote ni wakazi wa huko Chilonwa mkuu.
Nadhani Chibulunje sio yeye tu. Tukianza na Malecela, Lisinde Job, Kuwayawaya Steven, Lubereje George, Ndugai Job, Teu gregory, Kusila, Nkamia J. ni wote hamna kitu ns sijui watucwa Dodoma wamelogwa na nani mpaka wakawa watu rahisi kuhongeka tena hongo ya pombe ya kienyeji ya sh. 250/-. Huu mkoa nafikiri utakuwa wa mwisho katika mgeuzi na utajikuta uko peke yake ndio umebaki na CCM. Bila huruma ya Nyerere kusema Dodoma iwr makao makuu ya chama na srikalu sipati picha Dodoma ingekuwaje. Wagogo ndio kabisa hawajui kutofautisha katiya asubuhi na jioni. Kopo moja la pombe basi huyo mtu anaonekana nusu Mungu. Angalia Ndugai na Teu walipita bila kupingwa ndio utajua wagogo watabaki kuwa nyuma na CCM yao ndio inawamaliza kabisa.
mkuu umenipeleka mbali sana.Nakumbuka:: Chonya of Chilonwa me!!
We nawe hutabiriki utafikiri umeme wa tanesko bana mara kibao unakosoa sana wapinzani halafu leo unaleta mahaba ya ki Tanga kuwa na msimamo mpwa wangu
Mbunge wao wakati wa uchaguzi unamkuta anapiga pombe inautwa CHOYA na wananchi wake , baada ya hapo wanampa kura bila matatizo.
acha waonje joto ya jiwe kwanza ili 2015 vichwa vifunguke!!!