Kwa sasa hivi salama yao wote ni kuwa ndani ya mtumbwi wa ccm, kwa huu wizi walioufanya hawana namna, bora wabaki wote humohumo na wajiandae kuja kufanya mauaji kwa kulazimisha uwizi wa kura. Ingekuwa chama chao kimepata ushindi wa uhakika wakati wa uchaguzi s/m uwezekano wa kufukuzana wangalau ungekuwepo lakini sio katika hali hii.
Yapo jamaa fulani machizi yalitokwa povu kupotosha watu kubenea,kibanda na yericko sijui kawalonga nani kutwa kucha wanatunga uongo.
chezea mamvi wewe,...