Simba: Hatuchezi hadi waliovunja kanuni wachukuliwe hatua
Yanga: Ooh,walikuja na mbuzi,na vizee vifupi,imagine mabasi mawili,mabaunsa mnajuaje ni wa Yanga,bodi ya ligi mna pendelea,rais wa TFF ajiuzulu,ameinyanyasa sana yanga,kwanza shirikisho timu zilizopo sio mabingwa
Kombe la muungano ni bora kuliko medali zetu za CAF,sisi hatuna imani na bodi ya ligi,lakini nadhani hata tff wajuzulu,Simba ana penati nyingi,kwa nini dakika ziongezwe 20 tena ni 30, wanatunyanyasa sisi yanga,tunaenda CAS,oh kwa nini CAS wameungana na Simba ,bodi ya ligi watoe sababu za kuahirisha mechi,tff wajiuzulu,sisi HATUCHEZI,moshi wa njano umetoka,inaumiza sana,sasa HATUCHEZI NG'O!ila tutacheza bodi ya ligi wakitoa sababu ,Simba hachukui CAF,ila tunaumia jamani HATUCHEZI,HATUCHEZI NG'O!
Yanga: Ooh,walikuja na mbuzi,na vizee vifupi,imagine mabasi mawili,mabaunsa mnajuaje ni wa Yanga,bodi ya ligi mna pendelea,rais wa TFF ajiuzulu,ameinyanyasa sana yanga,kwanza shirikisho timu zilizopo sio mabingwa
Kombe la muungano ni bora kuliko medali zetu za CAF,sisi hatuna imani na bodi ya ligi,lakini nadhani hata tff wajuzulu,Simba ana penati nyingi,kwa nini dakika ziongezwe 20 tena ni 30, wanatunyanyasa sisi yanga,tunaenda CAS,oh kwa nini CAS wameungana na Simba ,bodi ya ligi watoe sababu za kuahirisha mechi,tff wajiuzulu,sisi HATUCHEZI,moshi wa njano umetoka,inaumiza sana,sasa HATUCHEZI NG'O!ila tutacheza bodi ya ligi wakitoa sababu ,Simba hachukui CAF,ila tunaumia jamani HATUCHEZI,HATUCHEZI NG'O!