Yanga kaanza kufanya makubwa kwenye ligi kabla wewe hujaanza kushabikia mpira pengine kabla hata hujazaliwa.
Wakati mwingine kukaa kimya ni vizuri zaidi kuliko kujidhalilisha hivi
Sent using
Jamii Forums mobile app
[/QUOTE
Duh... Hili jambo halifai kupongezwa ..? Bwashee hutaki tuwatie nguvu wapiganaji wetu wachezaji....!! Povu la nini?