mwanzo mzuri huo...wanapotumia mediatek it dosnt mean they are losers, they have their target customer na labda uwezo wao pia ni mdogo.
ubuntu kwa simu ipo muda mrefu tu, hio ni simu inayorun ubuntu ndio imezinduliwa. kama ulikua na simu ambayo bootloader yake ipo unlocked ulikuwa unaweza kuieka na watu wengi wenye nexus walikua wanaitumia.
My bro aliniweke Ubuntu katika nexus 4 yang