Masulupwete
JF-Expert Member
- Feb 15, 2012
- 2,366
- 2,397
Ni furaha ilioje kwa familia kwani baada ya msoto wa muda mrefu sana naye sasa kapata mwenza.
Mume ni wa kule kusini mashariki ya mbali. Nilichojifunza ishu ya kukosa mwenza inawakosesha raha na kuwakondesha sana hawa wenzetu (japo kwa hapa huwa wanajifanya kutuchukulia poa) maana taswira ya sasa ya shem hasa baada ya jamaa kutangaza nia ni tofauti sana. Sio siri katika kipindi kifupi sana shem wangu ameonekana kunawiri, kuwa na sura angavu zaidi na iliyojawa na furaha wakati wote.
Binafsi nimefarijika sana maana nilishaanza kunusa harufu ya "unungayembe". Nilishaanza kupata wasiwasi inakuwaje shem haolewi na miaka inasonga kwa kasi ya upepo. Kwa hakika nakutakia kila lakheri shem wangu katika maisha mapya ya ndoa.
Karibuni well wishers bila ya kusahau haters.
Mume ni wa kule kusini mashariki ya mbali. Nilichojifunza ishu ya kukosa mwenza inawakosesha raha na kuwakondesha sana hawa wenzetu (japo kwa hapa huwa wanajifanya kutuchukulia poa) maana taswira ya sasa ya shem hasa baada ya jamaa kutangaza nia ni tofauti sana. Sio siri katika kipindi kifupi sana shem wangu ameonekana kunawiri, kuwa na sura angavu zaidi na iliyojawa na furaha wakati wote.
Binafsi nimefarijika sana maana nilishaanza kunusa harufu ya "unungayembe". Nilishaanza kupata wasiwasi inakuwaje shem haolewi na miaka inasonga kwa kasi ya upepo. Kwa hakika nakutakia kila lakheri shem wangu katika maisha mapya ya ndoa.
Karibuni well wishers bila ya kusahau haters.