Hatimaye nimepata Galaxy M20

Y Yani simu saa 3 kasoro moja imesha drain about 50% of the batt. energy unasema ni simu inayokaa na charge?

Mie nmeamka saa 1 nika unplug simu yangu till now iko hapa! Sony Xperia C3
 
Y
Yani simu saa 3 kasoro moja imesha drain about 50% of the batt. energy unasema ni simu inayokaa na charge?

Mie nmeamka saa 1 nika unplug simu yangu till now iko hapa! Sony Xperia C3View attachment 1064805
Tangu nimeitoa charge masaa 26 yamepita boss wangu.

Kwa masaa 26 sijazima data + kuitumia sana.

Kama umesoma post yangu vizuri, sujalinganisha na na simu yeyote .. bali nimesema hii simu ni nzuri kwa price yake ni ya kawaida
 
Tunaomba ututajie bei yake na sehemu uliponunulia. Itakuwa umesaidia wengi waliovutiwa nayo.
 
Mkuu bei yake ni sh ngapi?? Na umenunua wapi
 
Mkuu Tunaomba bei yake na utuambie umenunulia wapi ,



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunaomba ututajie bei yake na sehemu uliponunulia. Itakuwa umesaidia wengi waliovutiwa nayo.
Nimenunu 560,000 (laki tano na elfu 60)
Rock city mall - mwanza.
Kiuhalisia simu hizi zinauzwa bei pungufu ya hiyo laki tano.... sema mm nilikuwa sina namna baada kuhalibu simu yangu wa mwanzo.

Maana juzi simu yangu ilihalibika kabisa baada ya kuanguka kutoka ghorofani nikiwa napiga selfie ya mazingira ya zuwa victoria
 
Tunaomba ututajie bei yake na sehemu uliponunulia. Itakuwa umesaidia wengi waliovutiwa nayo.
Nimenunu 560,000 (laki tano na elfu 60)
Rock city mall - mwanza.
Kiuhalisia simu hizi zinauzwa bei pungufu ya hiyo laki tano.... sema mm nilikuwa sina namna baada kuhalibu simu yangu wa mwanzo.

Maana juzi simu yangu ilihalibika kabisa baada ya kuanguka kutoka ghorofani nikiwa napiga selfie ya mazingira ya zuwa victoria
 
Poa mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Okay, Great! Vp kuhusu warranty? Ina 24 Smart Care kama matoleo mengine ya Samsung?
 
Okay, Great! Vp kuhusu warranty? Ina 24 Smart Care kama matoleo mengine ya Samsung?
Ahaa!, kwasasa hakuna warranty maana hizi simu bado hazijaja officialy kwenye maduka ya Samsung.

Ni yale matolea ya India ambayo yamekuja kwa njia za Panya

Kwakua mm ntakuwa hapa mwanza kwa wiki 2, nimekubaliana na muuzaji hapa rocky city mall Endapo ikipa hitilafu ntarudisha au
Nikirudi Dar wana maduka yao mlimani city ntapeleka huko.

Yaani nimechukua kama kujitoa muhanga vile... hadi sasahiv sijapata tatizo lolote.
 
Vip camera yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…