Hatimae vijembe vya kanga vyahamia WhatsAp

Hatimae vijembe vya kanga vyahamia WhatsAp

Ndoa ya Mkeka

Senior Member
Joined
Aug 1, 2014
Posts
183
Reaction score
98
Vijineno vya shombo vilivyozoeleka kupatikana ktk vazi la kanga sasa vimehamia ktk wall status ya watumiaji wa mtandao wa WhatsApp"

1.Unanichunga utaniweza?
2.Bahari hailindwi.
3.Nikuogope binadamu una mbingu ya kunipa?
4.Unaringa unakojoa juice?
Yaani huu mtandao ni mafumbo na vijembe tupu.
 
Kuna mama mmoja ktk profile picture yake kaweka hii,mpaka leo sijui ana maana gani?
 

Attachments

  • Bab.jpg
    Bab.jpg
    19.6 KB · Views: 1,089
Mwingine kaweka "unajiita mtamu kakula nani?“Afu ni mmama mtu mzima
 
Mtu mwenye akili zake hawezi kuandika kwenye status mipasho

Lazima kidogo madishi yanakuwa yameyumba
 
Back
Top Bottom