Tunaomba sana Serikali iingilie kati suala hili. Walikuja kwenye hoteli yangu wakadai niwalipe Tshs.500,000 nilipowauliza nini nitapata kutoka kwao wenyewe wakasema kuwa wanatoa tu cheti cha kujisajili. namwomba Mhe. Waziri ya mambo ya ndani aingilie suala hili kabla haijaleta madhara makubwa kwa watumishi wake kwa sababu tunauonekama wizi wa mchana. Unatoa Tshs. 500,000 hupati hata mtungi wa gesi wa kuzuia moto eti wanasema kuwa tunakupa cheti. WEZI WAKUBWA HAO.