co fm
JF-Expert Member
- Jul 20, 2016
- 1,499
- 2,384
Wanajamii,sijui ni ushamba wangu au sijui ni kutoelewa.Katika mapenzi siku hizi kama mwanamke au mwanaume hawaja nyonyana sehemu za siri basi penzi halijakamilika,sasa kwa wale wanaolamba wanawake sehemu zao za siri hasa uke ambao upo karibu na sehemu ya kutolea haja kubwa hamuoni kuna hatari ya watu kupata kipindupindu?wengine wanaenda mbali sana hadi kulamba sehemu ya haja kubwa ya wanawake hamuoni inaweza kuleta kipindu pindu