Hatari: Nimenusurika kifo


Huyo ni shem wetu kweli?
 
Sasa sisi tutajuaje kama sio mwizi kweli?Kwani mwizi ana rangi gani?

acha mambo ya ajabu mkuu,mwenzetu katuhabarisha alivyonusurika na kifo,wewe tena unaleta mzaha,jamani si kila kitu ni mzaha.
 
Dah!bongo hii wezi wa kuku wanachomwa moto mafisadi wanatamba tu mitaani.
 
Hao wananchi wenye hasira kali huwa hawana akili sana !!
 
Poleni wote mliofikwa na mikasa!
Kuna mmama mmoja pale ubungo stendi ya daladala, alikuwa ananunua nguo sagulasagula, kamaliza kaondoka kumbe wallet yale kaichanganya na nguo pale kwenye meza yenye Nguo, kapiga hatua chache anakumbuka wallet hana Mara kamshika Mkaka mmoja eti kamuibia wallet!

Watu kuskia mwizi si wakamvaa yule kaka maskini! Kajitetea Sana na akaomba wamsachi Kama kaiba wataiona! Nusura avue Nguo! Tukamuuliza yule mama akasema alikuwa ananunua nguo tukarudi nae pale kwenye meza alonunulia Nguo, yeye mwenyewe kuangalia vizuri akaiona wallet yake!

Amini usiamini watu nusura wamchape makofi bahati yake alikuwa MTU mzima kiasi!

Nilijifunza kutopunic ukigundua au kuhisi umeibiwa au kupoteza kitu! Take time kuhakikisha kweli umeibiwa na usishout mwizi Kama huna uhakika na aliyekuibia
 
Hicho kidada kingese tu..., stupid! mwishi mwishi..! mwishi babaako.., stupid..!!!
 
Jali njia kuu, epuka michepuko mzee!
 

Dah nimeumia sana.Inasikitisha pole mama.
 
mkuu nakumbuka pia 2003 usiku mbeya pambogo ilipigwa kelele ya mwizi. Watu wengi wakatoka, huyo mwizi alip kipigo akavunjwa miguu na mikono huku kichwa kiki bleed bibaya. Aliata nguvu ya kuomba watu wajiulize ameiba nini na kwa nani.

Hapa ndo ikajulikana kuwa hakuiba kwani aliyeita wtu alishindwa uthibitisha. Aagh!? kilanikikumbuka sitaki kabisa kushiriki miito ya wezi
 
Eeh Mungu tuepushe na huyu pepo mchafu wa kusingiziwa wizi daah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…