Hatari kuvunjika mifipa ya miguu

Hatari kuvunjika mifipa ya miguu

ba nso

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2012
Posts
668
Reaction score
225
Ndugu zanguni ninaomba anayefahamu kuhusu matibabu ya mifupa iliyovunjika asaidie hapa:

1. Je kuna dawa ya kuharakisha kujiunga kwa mifupa hasa ya kienyeji.

2. katika hali ya kawaida mifupa huunga baada ya muda gani hadi mtu kurudi kutembea? ( kama alivunjika mfupa wa paja). mwenye uzoefu tafadhali toa ushuuda hapa.

3. Binafsi ninatimiza miezi 4 tangu niganyiwe upasuaji baada ya kuvunjika mifupa ya mapaja na kuwekewa rods na nails .I use crutches. How long will I be
sitting back like this?

asante

Tags: None
Copyright JamiiForums.com
Edit Reply Report Post
Submit Reply
 
ukivunjika si chini ya miezi sita. za kienyeji nimesikia tu stori zake ndani ya mwezi au na nusu unatembea.
pole sana mkuu. mi nimepasuka ligaments mwezi sasa lakini nakanyaga mdogo mdogo.
 
Kuna mtaalam wa mitishamba anapatikana Bukoba,huyo anatibu hata wale walioshindikana hospitalini ambao huwa katika hati hati ya kukatwa viungo vyao,akikutibu matokeo yake unayaona baada ya week wiki moja mpaka mwezi mmoja.

Kwa jina anaitwa "Kayunga Magufa" ila kwa tafsiri yake kwa kiswahili ni Muunga mifupa.

No yake ni hii, 0753231057

55.jpg
 
ukivunjika si chini ya miezi sita. za kienyeji nimesikia tu stori zake ndani ya mwezi au na nusu unatembea.
pole sana mkuu. mi nimepasuka ligaments mwezi sasa lakini nakanyaga mdogo mdogo.

Asante mkuu. pole nawe. ilikua ajari?
 
Kuna mtaalam wa mitishamba anapatikana Bukoba,huyo anatibu hata wale walioshindikana hospitalini ambao huwa katika hati hati ya kukatwa viungo vyao,akikutibu matokeo yake unayaona baada ya week wiki moja mpaka mwezi mmoja.

Kwa jina anaitwa "Kayunga Magufa" ila kwa tafsiri yake kwa kiswahili ni Muunga mifupa.

No yake ni hii, 0753231057

55.jpg

yupo bk sehem gani? na ushashuhudia utendaji wa dawa zake?
 
Ndugu zanguni ninaomba anayefahamu kuhusu matibabu ya mifupa iliyovunjika asaidie hapa:

1. Je kuna dawa ya kuharakisha kujiunga kwa mifupa hasa ya kienyeji.

2. katika hali ya kawaida mifupa huunga baada ya muda gani hadi mtu kurudi kutembea? ( kama alivunjika mfupa wa paja). mwenye uzoefu tafadhali toa ushuuda hapa.

3. Binafsi ninatimiza miezi 4 tangu niganyiwe upasuaji baada ya kuvunjika mifupa ya mapaja na kuwekewa rods na nails .I use crutches. How long will I be
sitting back like this?

asante

Tags: None
Copyright JamiiForums.com
Edit Reply Report Post
Submit Reply

kwanza pole sana.
daktari aliekufanyia upasuaji hajakwambia itakuchukua muda gani kupona??
mimi sio daktari lakini najua mfupa kuunga inategemea na umri wako, mtoto wa miaka 10 mfupa utaunga haraka kuliko mtu mzima wa 40yrs.
 
Pole sana..ila huko kwenye dawa za kienyeji angalia usije ukaambiwa ndugu yako wa karibu ndo kakutega. halafu mkaachana ujamaa.
 
kwanza pole sana.
daktari aliekufanyia upasuaji hajakwambia itakuchukua muda gani kupona??
mimi sio daktari lakini najua mfupa kuunga inategemea na umri wako, mtoto wa miaka 10 mfupa utaunga haraka kuliko mtu mzima wa 40yrs.

nilikwenda check up kanambia nendlea vema sana ktk kuunga ila kanambia wa tano nende tena. Asante sana mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom