Kwanza kabisa Wewe ni bikra? Na. Wewe unataka mke au unataka kuzini? Kama kweli unampenda na unataka awe mke wako utakubaliana nae, kama sivyo isipende kumharibu mwenzako ambaye amejiheshimu kwa miaka yote hiyo.
Wana Jamiiforums wenzangu naombeni Ushauri.
Nina mwaka 1 sasa kwenye mahusiano, mpenzi wangu hataki kabisa tu-sex coz yeye bado ni bikra, anasema hawezi kuvunja amri ya 6 mpaka tuoane.
Dini zetu ni tofauti, pia hata malengo ya kuoa kwa sasa bado sina coz bado najijenga kimaisha. Mimi ni Mwanaume niliyekamilika nani atanitimizia haja zangu kama siyo yeye.
Anadai ananipenda hataki tuachane.
Niko njia panda ndugu zangu naomben msaada na ushauri.
Asanteni
Kutimiziwa haja? Nenda buguruni na kimboka wako wengi sana....
Wana Jamiiforums wenzangu naombeni Ushauri.
Nina mwaka 1 sasa kwenye mahusiano, mpenzi wangu hataki kabisa tu-sex coz yeye bado ni bikra, anasema hawezi kuvunja amri ya 6 mpaka tuoane.
Dini zetu ni tofauti, pia hata malengo ya kuoa kwa sasa bado sina coz bado najijenga kimaisha. Mimi ni Mwanaume niliyekamilika nani atanitimizia haja zangu kama siyo yeye.
Anadai ananipenda hataki tuachane.
Niko njia panda ndugu zangu naomben msaada na ushauri.
Asanteni
hahahaa!!eti uko njia panda, haya toka huko njia panda nenda kwa main road
Sijui kipi kinaweza kukueka kwa huyo binti...hii inaonyesha dhahiri kuwa huna mikakati nae ila unachotaka kufanya ni kumuharibia.
Why usitafute wa dini yako?
Why usisubiri mpaka ukaoa?
Why...why..why?
Kama unaona relation yako ina "Why" nyingi, you better call it off.
Mwache mtoto wa watu usimuharibie fyucha yake banah,kama wewe hupendi wanaotaka kusubiri mpaka ndoa wengine wapo,waachie wanaopenda wasichana wa namna hiyo we tafuta mwenye miwasho kama wewe asiyeweza kuvumilia kama wewe sawa?????????!!!!!!!!
Tunaomba mrejesho kaka vipi hio.Wana Jamiiforums wenzangu naombeni Ushauri.
Nina mwaka 1 sasa kwenye mahusiano, mpenzi wangu hataki kabisa tu-sex coz yeye bado ni bikra, anasema hawezi kuvunja amri ya 6 mpaka tuoane.
Dini zetu ni tofauti, pia hata malengo ya kuoa kwa sasa bado sina coz bado najijenga kimaisha. Mimi ni Mwanaume niliyekamilika nani atanitimizia haja zangu kama siyo yeye.
Anadai ananipenda hataki tuachane.
Niko njia panda ndugu zangu naomben msaada na ushauri.
Asanteni
Ni vizuri kusubiri ili kuepuka zinaa. Ila ila ila ila jihadhari, wengi wao huwa waongo, na usikute keshachezewa sana na sehemu zake sa siri zimeshalegea. Wanawake wa namna hii ndio hubana huku wakitaka tendo lifanyike siku ya ndoa maana wanajua ukisha funga nae ndoa biashara imekwisha. Chochote utakachokutana nacho kwenye mwili wake utatakiwa kuvumilia tu hutakuwa na namna. Kwa hiyo wengi wao wanatumia UBIKRA km mtego wa kupata mume kwa haraka na urahisi.Asante Kaka! Ila Ndoa Siyo mchezo, siwez kukurupuka tu kuoa eti kisa mwanamke ni bikra....Yani hata dini zenyewe tuko tofauti! Cjui nifanyaje....
Nisaidie namba za girlfriend wakoWana Jamiiforums wenzangu naombeni Ushauri.
Nina mwaka 1 sasa kwenye mahusiano, mpenzi wangu hataki kabisa tu-sex coz yeye bado ni bikra, anasema hawezi kuvunja amri ya 6 mpaka tuoane.
Dini zetu ni tofauti, pia hata malengo ya kuoa kwa sasa bado sina coz bado najijenga kimaisha. Mimi ni Mwanaume niliyekamilika nani atanitimizia haja zangu kama siyo yeye.
Anadai ananipenda hataki tuachane.
Niko njia panda ndugu zangu naomben msaada na ushauri.
Asanteni