Hataki kuachana na ex wake

Hata ukiendelea naye atakuja kukusumbua mbelen we pga chini tu yan hakufai nakushaur kama mtu mzima anayeelewa kinachoendelea ukishindwa urudishe na mrejesho hapa na nyie wanaume au mwanamke yoyote mtu mkiachana achana kwel mawasiliano yanatoka wap
 
Nani kakudanganya kuwa anahitaji hiyo nafasi. alichokuwa anapata kwa ex wake hujafikisha,anachopata kwako akijumulisha na ex wake ndo anakuwa kamili. Achana naye
Nilimpa nafasi ajirekebishe na kumuonya,na alivyozidi nikamuacha ila akaja akaomba msamaha mbele ya ndugu yake ila cha ajabu bado anaendelea
 
Huyo mwanamke ni kimeo,cha wote, atakuja kukusumbua bure,achana naye,anang'ang'ania wanaume waliopita na wewe umo tu,utakuja kufa kwa stress mkuu.hana sifa za kuwa wife material huyo,hakuheshim
 
Wanawake wengine hatujui tunataka nini,umeachwa umo tu bila aibu,anachukua mwanamke mwingine umo tu..alikuacha akaona hufai akabeba mwingine ambaye anathamani kuliko wewe bado umo tu...mungu atuhurumie sana
 

Na ww muulize huyo mwanamke mbona mumewe anawasiliana na mkeo? Kama vipi elewaneni maanake hapo wapenzi hamna
 
Choma kisu cha tumbo mkuu, hawa viumbe huwa hawasikii mpaka umfanyie tukio moja amazying
 
Unless unataka siku tusikie umejinyonga, otherwise mkimbie kama ukoma
 
Yaani hayo yote yametokea na bado uko naye tu?
Wanaume tunapungua kwa suala la maamuzi kweli!

1. Mwite mke wa jamaa, muweke sawa. Mueleze kila kitu, akikuelewa mtafune tena sana.
2. Mpige chini huyo si wa kuishi naye kabisa.
 
Huyo hana mapenzi na wewe. We kula tu kukata kiu, tulia utampata mke mwema usiwe na papara.
 
Mkuu kuna mambo as a matured real man hutakiwi kuomba ushauri.... Unajipa a go mwenyewe... Kwanini uendelee kuwa mtumwa utateseia Sana and inaonekana huyo mwanamke ameisha ona wewe unampenda sana na hauwezi bila true.... Inauma ndiyo ila bora maumivu ya sasa kuliko utakayoyapata siku zijazo..... Achana nae mkuu jiamini kuwa wewe ni wathamani and unaweza mpata zaidi yake ukizubaa hiyo inferiority complex itakuja kukuua na kukwamisha maendeleo y'all....

Guess what notes personality yako....Wewe mpole sana, sio muongeaji Sana, umeanza love ulipofika 18year, unamoyo wa huruma na hekima tele pia umewahi jiapiza hutaki kuumiza wadada..... If true chukua huo ushauri mkuu
 

We wa Dar au mkoani?
 
Nakushauri ujinyonge hadi kufa au nyofoa hizo kende zako zote,Huu ni uzuzu kweli wewe nawe ni mwanaume kweli!?
 
Sasa wa nn huyo au hujui watu wa kagera tabia yao mkuu?
 
Inasikitisha sana uanaume unapotea kabisa unashindwaje kuamua jambo kama hilo halafu mtu unajiita rijali
 
We jamaa una mda mpaka za kuwaza pamoja na yote hayo,achana nae ,wanawake ni wengi kwanini upote nda wako kwa mwanamke ambaye hakuelewi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…